Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,998
Umedangaya!
Mimi ni mmoja ya walioongoza kumkata na kumhoji kwa njia ya mateso, na niliamua kwa agizo la bosi wangu kuwa tusimuue!
Lengo lilikuwa kujua kama mgomo unafadhiriwa na kundi la Lowasa au Chadema!
Hakuna kitengo cha AK katika nchi yetu,
Kikosi cha mwisho na maalumu cha mauaji ni LTK tu!
Labda kwa ufafanuzi tu ni kuwa LTK tumepewa jukumu la kunyamazizisha wanaharakati kwa vitisho kama tulivyomfanyia Ulimboka, lakini sio kuua!
Tulikuwa na uwezo wa kumuua Ulimboka hata akiwa kalala na mkewe kama ingelikuwa lazima kuumua kwa siri!
Mbinu za kuua tunazo nyingi sana tusingehangaika au kupoteza mda kwa ulimboka ambae hana mafunzo yoyote ya kijasusi!
Ulimboka kama atakuwa atakuwa kafa kwa mateso tuliyompa ila si kufuatwa RSA!
Nilikuwa nakuheshimu sana hapa JF kama mtu ambaye analeta inside story, kumbe wewe ni **** msengge kabisa wala huna hata chembe ya ukweli wowote zaidi ya kukariri movie za CIA na FBI mpumbavu kabisa wewe.