Kiona
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 933
- 240
Sera kubwa ya Chadema uongo, majungu na fitina je ikithibitika kuwa serikali haihusiki na kisa hiki utasema nini? Dr. Ulimboka hakuwa nabii kama Yesu subiri uchunguzi ufanyike usitulee porojo
Chama
Gongo la mboto DSM
Tangu Uhuru hakuna jambo hata moja CCM imesema la ukweli. Serikali yake imeua kuanzia Karume .........mpaka wakina kombe na hatimae marehumu aliye hai aka Balali. Dr wetu ni mungu kamsaidia ila wao walijua hatafika asubuhi.
Die hard Dr and tell the whole nation what happened and who was involved.
:sleepy: