Kila la heri ila wasisahau viapo vyao walivyokula wakati wanapewa hizo kazi!!View attachment 454059
Wasema wataiburuza serikali makamani.
Wadai serikali inawaonea na wapo na siri nzito na wako tayari kuzitoa mahakamani.
mimi nashangaa sana hawa wateule wa Rais. mimi nilidhani suala la Ombeni Sefue lilikuwa ni somo tosha kwao?View attachment 454059
Wasema wataiburuza serikali makamani.
Wadai serikali inawaonea na wapo na siri nzito na wako tayari kuzitoa mahakamani.
I can bet, ni wachache sana hata miongoni mwa waliotumbuliwa wanalijua hilo. Mtu akiteuliwa akapewa mkataba, anaangalia palipoandikwa kiasi cha mshahara, sehemu ya kuandika jina na kuweka sahihi, basi. Sehemu zingine si muhimu hadi limtokee (La kutumbuliwa kwa mfano).Sheria zinamtaja raisi ni zaidi ya mwajiri, Zinamtaja yeye kama mamlaka ya juu zaidi ya kinidhamu kwenye utumishi soma section 35(1) ya public services regulation wa umma kwa hiyo sheria imempa uwezo wa kutumbua anavyojisikia yeye,Lakini pia wateule wake wakitumbuliwa na mamlaka zingine za kinidhamu wanaweza ku appeal kwake na akawarejesha kazini S.60() public services regulation.
Mkuu fikiria kidogo. Wangezitolea wapi hizo siri.. Assume umefukuzwa na HUNA mamlaka ya kukaa ofisini wala kuita Mwandishi habari.. Anyway back to the topic hata WAkilalamika bado rais kisheria inafafanua yeye ndio mwajiri.. Hawatafanikiwa
Wanajidanganya walituibia sana ndg usitetee ujinga huu.Kwa hiyo kwa sbb ni maamuzi yako kuoa na kuzaa watoto una uwezo wa kuwafanya vile unataka hata kuwafukuza na kuwaua?
Hiyo public image ndo kitu gani bana mbele ya mali ya umma hawa siyo wa kutetea hata kidogo.Hapo ni kwamba anapotengua kwa matakwa yake,hapo hakuna shida. Shida INA kuja pale anapokuharibia public image ya kukwamnia labda wewe mwezi, ulikosea, au sababu yoyote inayokushushia hadhi mbele ya jamii. Unayohaki ya kwenda mahakamani kuweka historian sawa
Hahaa tena wao wanamitaji tayari. Waje kujiajiri tu. Hawa ndio walikuwa wanasema vijana wanafanya nini mjini huko vijijini mapori kibao wakalime, waje mtaani tukalime wote.ahha ahaha, walikuwa wanatwambia vijana mkajiajili
Dua ya kuku,.........Wangejua Rais maana yake nini, bora wangekaa kimya kuliko kuleta vitisho vya mlevi !View attachment 454059
Wasema wataiburuza serikali makamani.
Wadai serikali inawaonea na wapo na siri nzito na wako tayari kuzitoa mahakamani.
Ndio hapo udhangae sasa.Tatzo la viongoz wetu wengi hawana akili kutokana na kuwa kwenye system ivo cc tuliopo nje ya system wanatuona hatuna msaada wowote ule kwao but baada ya kutumbuliwa ndio wanataka kumwaga hizo sili hazarani je kpnd wapo kwny ssytm walikuwa wap?
Mkuu fikiria kidogo. Wangezitolea wapi hizo siri.. Assume umefukuzwa na HUNA mamlaka ya kukaa ofisini wala kuita Mwandishi habari.. Anyway back to the topic hata WAkilalamika bado rais kisheria inafafanua yeye ndio mwajiri.. Hawatafanikiwa
Tatizo TZ hatuko energetic,hatuna munkari sijui kwakua hatuvuti bangi vyakutosha na kunywa visusio ili tuwe na hasira. Yaani mtu anaonewa lkn anatuliaaa hata kusema nimeonewa hawezi,mtu anang'olewa meno kimyaa,kucha kimyaaa,anasingiziwa wizi na ufisadi kimyaaa...dah!! Tunakasirika tukichkuliwa Wake tuu
Ndugu yangu usiseme hivyo, ktk maswala ya umma unaweza kusingiziwa kitu hadi ukafukuzwa lkn ukifwta sheria unakuta hakuna sehemu uliyokosea.Hiyo public image ndo kitu gani bana mbele ya mali ya umma hawa siyo wa kutetea hata kidogo.
Sawa lakini ukifuatilia wote waliopigwa chini wamehusika kwa ubadhilifu, kwanza wote ni matajiri wa kupindukia hizo hela wametoa wapi mzee.Ndg yangu usiseme hivy
Ndugu yangu usiseme hivyo, ktk maswala ya umma unaweza kusingiziwa kitu hadi ukafukuzwa lkn ukifwta sheria unakuta hakuna sehemu uliyokosea.
Unaweza sema hivyo labda hayajakukuta lkn kwa watu waliyowakuta wanajua.
Binadamu wote si sawa na hatupendani