Waliotumbuliwa wadai wana siri nzito

Waliotumbuliwa wadai wana siri nzito

Vyeo vya kuteuliwa unaendaje kupinga, ni maamuzi ya aliyekuteua kuamua kufanya kazi na ww au la
Mkuu watu wengne ni wakuteuliwa na wanajifanya wana siri je si watwambie sisi wananchi ndo tupime uzito wake au wameweka mtaji wa kisiasa mpaka 2020
 
Waunde Umoja Wao:Umoja Wa Waliotumbuliwa Tanzania(UWAWATA) na Wamuone Tundu Lissu kwa Msaada Zaidi!
 
View attachment 454059

Wasema wataiburuza serikali makamani.

Wadai serikali inawaonea na wapo na siri nzito na wako tayari kuzitoa mahakamani.

waambie hao jamaa msemakweli ni mpenzi wa Mungu. Yaani wasiite siri nzito waite ni ukweli na kuna watu walikuwa wanasema watanzania tinakasirika hotuba fulani fulani kisa hatujazoea kuambiwa ukweli.
 
Wazitoe
Naona nao wanaharufu ya unafiki, mbona hizo siri hawakuzitoa mapema kwa maslahi ya taifa? Kwa sababu Ngosha kawanyima ugali ndo wanaanza kutishia
wakizito huyu ngosha wako anaweza kuwa matatani kwanza hafuati sheria a kazi anafukuza fukuza watu tu kama mahousegirl waende tujue mbivu na mbichi
 
Mkuu fikiria kidogo. Wangezitolea wapi hizo siri.. Assume umefukuzwa na HUNA mamlaka ya kukaa ofisini wala kuita Mwandishi habari.. Anyway back to the topic hata WAkilalamika bado rais kisheria inafafanua yeye ndio mwajiri.. Hawatafanikiwa

Sheria zinamtaja raisi ni zaidi ya mwajiri, Zinamtaja yeye kama mamlaka ya juu zaidi ya kinidhamu kwenye utumishi soma section 35(1) ya public services regulation wa umma kwa hiyo sheria imempa uwezo wa kutumbua anavyojisikia yeye,Lakini pia wateule wake wakitumbuliwa na mamlaka zingine za kinidhamu wanaweza ku appeal kwake na akawarejesha kazini S.60() public services regulation.
 
ahha ahaha, walikuwa wanatwambia vijana mkajiajili
teh teh teh tena ukitazama wameajiriwa muda mrefu ata mitaji ya kwenda kulima na kufugia wanayo sasa wanaogopa nn mbona walikua mstari wa mbele kuwa ambia vijana wakajiajiri huku vijana ata mitaji hawana safi sana wapate fundisho kuwa mtaani pagumu
 
Tatizo ni pale mnapopiga dili pamoja, jamaa anakugeuka wewe unatumbuliwa peke yako
 
WALENGWA WALISEMA HASIRA HASARA. ...
 
Duh leo ndo wana siri nzito skuzote walikuwa wapi wakati wakiwa kwenye nafasi zao
 
Tatizo ni pale mnapopiga dili pamoja, jamaa anakugeuka wewe unatumbuliwa peke yako
Alafu anakimbilia mahakamani. ..a total pathetic strategy. .
 
Baada ya kupgwa panga sasa panauma?? Tangu wameanza kusema wana siri nzito naona zmewaelemea hata kusema hawawezi tena
 
wakizito huyu ngosha wako anaweza kuwa matatani kwanza hafuati sheria a kazi anafukuza fukuza watu tu kama mahousegirl waende tujue mbivu na mbichi

Ajira za zimetenguliwa kwa kupangiwa Kazi zinging.So wanataka kuchagua kazi? Hebu wafunguke basi, Leo wanaendelea kula mishahara na posho zao zimefutwa na Majaliwa Sasa wanataka nini
 
Back
Top Bottom