Waliotumbuliwa wadai wana siri nzito

Waliotumbuliwa wadai wana siri nzito

Tunataka chanel zile za bure zirudishwe la sivyo waturudishie analogia yetu maana antena bado tunazo. Hii ni laana na unyonyaji mkubwa kwa kutaka kuwakamua maskini wa nchi hii kila walichonacho.
 
embu nenda kwa mmoja aliyetumbuliwa uone kwake ulinganishe na mshahara wake. tunatulia kwa sababu tunajua yatafumuka mengi kama uamini ajitokeze hata mmoja uone
Hatari, jamaa ana mijengo ya maana 73 kule pugu. Hata kama katumbuliwa haina tatizo sasa anakula na kulala tu. Siku hizi shavu dodo tofauti na wakati ule anazitafuta.
 
Nadhani ni kuchanganyikiwa na hasira tu.Wasijaribu kabisa kushitaki,kwa sababu hata hivyo vijumba walivyoachiwa havilingani na vipato vyao,vitachukuliwa wakose hata pa kulala
 
Hapo ni kwamba anapotengua kwa matakwa yake,hapo hakuna shida. Shida INA kuja pale anapokuharibia public image ya kukwamnia labda wewe mwezi, ulikosea, au sababu yoyote inayokushushia hadhi mbele ya jamii. Unayohaki ya kwenda mahakamani kuweka historian sawa
Upo sahii mkuu.
 
Wazitoe
Naona nao wanaharufu ya unafiki, mbona hizo siri hawakuzitoa mapema kwa maslahi ya taifa? Kwa sababu Ngosha kawanyima ugali ndo wanaanza kutishia
Binadamu tumejaa unafiki sana, yaani yameguswa maslahi yao ndio wanaamka kwa sababu ya maslahi yao, lakini kwenye maslahi ya umma wako kimya! Shame
 
Kwani mahousegirl sio watu?
nimewatolea mfano kwasababu wengi wao wanahangaishwa na hawana haki kabisa siku bosi akiamua anatupa mabegi..wao ni wa kunanyaswa wakati meingine bila makosa ya maana ama kusingiziwa
 
Nadhani ni kuchanganyikiwa na hasira tu.Wasijaribu kabisa kushitaki,kwa sababu hata hivyo vijumba walivyoachiwa havilingani na vipato vyao,vitachukuliwa wakose hata pa kulala
huu ni ujinga wa kiwango cha phd hewa
 
Tatizo TZ hatuko energetic,hatuna munkari sijui kwakua hatuvuti bangi vyakutosha na kunywa visusio ili tuwe na hasira. Yaani mtu anaonewa lkn anatuliaaa hata kusema nimeonewa hawezi,mtu anang'olewa meno kimyaa,kucha kimyaaa,anasingiziwa wizi na ufisadi kimyaaa...dah!! Tunakasirika tukichkuliwa Wake tuu
Hahahaa na hata mkichukuliwa wake zenu bado mnamuachia Mungu au unaenda kwa mganga.
 
Kama wana siri waweke vikaratasi chini ya mlango wa Kubenea.
Au wamwambie Maxence Mello ili hapa JF tuzichambue kama karanga
Au kama mtu anazo siri zake anataka zihifadhiwe anaweza kuniambia mimi.
 
Shauli yao bora watulie tu lasivyo watageuziwa kibao sasa hivi kwa kufunguliwa mashataka ama ya uzembe au matumizi mabaya ya madaraka.
Wanatishia kujamba wakati wanaumwa tumbo la kuharisha, Teh! Teh! Teh!.

watu mna vituko jamani 😀😀😀
 
Kwa hiyo kwa sbb ni maamuzi yako kuoa na kuzaa watoto una uwezo wa kuwafanya vile unataka hata kuwafukuza na kuwaua?
Reply yako haiendani na uhalisia hizo ni presidential appointments mamlaka na haki ya kuteua au kutengua iko katika ofisi ya Raisi mwenyewe wanaweza kwenda mahakamani pale tu maslahi` MAFAO' yao yanapoguswa kitu ambacho naamini huwa hakitokei.
 
Mkuu fikiria kidogo. Wangezitolea wapi hizo siri.. Assume umefukuzwa na HUNA mamlaka ya kukaa ofisini wala kuita Mwandishi habari.. Anyway back to the topic hata WAkilalamika bado rais kisheria inafafanua yeye ndio mwajiri.. Hawatafanikiwa
Hey you people, HAWAJAFUKUZWA appointments zao zimetenguliwa na mamlaka iliyowateua watalipwa mafao yao kama kawaida sasa hapo kuna lipi la kisheria kulalamika mahakamani?vile vile endapo leo watatoa siri watakuwa wanakiuka viapo vya utii walivyoweka na hivyo wao ndio watakaojikuta matatani wao watulie tu wamshukuru Mungu kuwa miongoni mwa Watanzania wachache angalau nao walipata fursa adimu ya kuonja cream of honey.
 
WAPAMBANE NA MAISHA TU URAIANI, SIYO LAZIMA WAWE WATUMISHI WA SERIKALI.
 
Mtaani kugumu jamani,hata huyo Rais akija mtaani na kuanza kujitafutia kama sisi atatambua ugumu wake,ila kwa kuwa hawajui hata bei ya kilo ya unga wanatucheka tu, na kutuambia tufanye kazi ambazo hazipo
 
Back
Top Bottom