Waliotumbuliwa wadai wana siri nzito

Waliotumbuliwa wadai wana siri nzito

Sawa lakini ukifuatilia wote waliopigwa chini wamehusika kwa ubadhilifu, kwanza wote ni matajiri wa kupindukia hizo hela wametoa wapi mzee.
Sins uhakika sana na hicho unachosema kuwa ni matajiri kwa hiyo siwezi kubisha lkn kama ulishawahi Fanya kazi ktk ofisi za umma, mzee kuna majungu kibao.
Unaweza kugombana hata kwa demu tu na fitina ikaanzia hapo.
Kuna haja ya kuangalia kwa undani kidogo ili kujiridhisha.
Si umesikia mwanza watumishi 4 wamerudishwa baada ya kubaini hapana makosa
 
Kweli Watanzania 1:4 Halali Yao Walikuwa Wapi Kutoa Iyo Siri Kabla Ya Kutumbuliwa.



Be Attention
 
sasa wanakaa nazo kwanini?

wakifa na hizo siri watapata faida gani?

bure kabisa wasomi hawa
 
Hivi si magu ndo alisema asijaribiwe?

Hakuna rais ambaye yuko tayari kuwa shaked na mtu ambaye either yuko serikali ama hayupo serikali...

Kama wanajua wana siri nzito wangezitoa tuu...kama wanaogopa kuziweka public wazilete humu jukwaani ..sisi tutazifikisha kwa mkuu..

Lakini pia, kusema wazi wazi kuwa wana siri..ni kuhatarisha usalama wao...its too danger for them.. bora wangezisema tuu in inderict way..manake wana possibility kubwa ya kuwa eliminated.

Usiri ni tamaduni ya nchi yoyote! Kuna vitu vya nchi huwezi kuvianika peupe..hata kama vina uonevu kwa watu flani...iko hivyo its ment to be it for
Nation sustainability.

Na mara nyingi huwa "wewe ndo utaondolewa kabla hujatoa siri""
 
Hivi si magu ndo alisema asijaribiwe?

Hakuna rais ambaye yuko tayari kuwa shaked na mtu ambaye either yuko serikali ama hayupo serikali...

Kama wanajua wana siri nzito wangezitoa tuu...kama wanaogopa kuziweka public wazilete humu jukwaani ..sisi tutazifikisha kwa mkuu..

Lakini pia, kusema wazi wazi kuwa wana siri..ni kuhatarisha usalama wao...its too danger for them.. bora wangezisema tuu in inderict way..manake wana possibility kubwa ya kuwa eliminated.

Usiri ni tamaduni ya nchi yoyote! Kuna vitu vya nchi huwezi kuvianika peupe..hata kama vina uonevu kwa watu flani...iko hivyo its ment to be it for
Nation sustainability.

Na mara nyingi huwa "wewe ndo utaondolewa kabla hujatoa siri""

Waambie mburula wanaoshangilia ujinga waelewe!!
 
View attachment 454059

Wasema wataiburuza serikali makamani.

Wadai serikali inawaonea na wapo na siri nzito na wako tayari kuzitoa mahakamani.
Wakati mwingine yanafanyika mambo ili kudraw attention za kisiasa. Kwa wateule, haina maana sana. Lakini chukulia issue kama ya wale watumishi wa Bukoba waliosimamishwa, unaangalia sababu zinazotolewa hadi unaona aibu. Katika mazingira kama yale, tuhuma zinatolewa na kamera,yaani sifa za kiuongoz ukienda na kamera ukahisi tu watumishi wamekosea au hujarudhika basi unawasimamisha. Kwa mfano uliotolewa kuwa ukarabati uko chini ya kiwango au thaman ya hela,kwa utaalam gani au hisia tu? Kama wakikutwa hawana hatia kwa mfano,zitaitwa tena kamera kuwasafusha? Aina hii ya uongozi na utawala ni ya ajabu mno.
 
Nikweli walikuwa wapi kamanikweli wana zinasirinzito watanzania walio tulio wengi wetu niwanyonge sasa hizosiri kuzito irishikanika nn mpaka wanyimwe ugari kwanza?
 
haa haaa hao kama ni majasiri watoke hadharani waongee na waandishi wa habari na kumwaga hadharani hiyo siri nzito.kama kwenda mahakamani watafail vibaya sana. vyeo vya kuteuliwa havidaiwi mahakamani...
 
Back
Top Bottom