Ndugu wanajamvi, Mh Rais aliwatengua nafasi za watu mbalimbali ambao walikuwa ni wateule wa ngazi yake. Lakini Juzi UKAWA kupitia kwa Mwanasheria wetu mahili Tundu Lissu tuliwadhauri waende mahakamani ili walipwe mabilioni kwani Mh Rais aliwatumbua akiwa hajatangaza Instruments katika Gazeti la Serikali. Cha ajabu licha ya Ushauru huu wa mwanasheria wetu mahili wa Ukawa ndu Lissu bado wahusika wamekaa tu na wako kimya. Kukumbushia wachache waliotumbuliwa na Mh Rais nikama ifuatavyo;
- Kamishina Mkuu wa TRA--Bashe--suala la makonteina
- Mkurugenzi Mkuu wa Bandari...Masawe..Issue ya Makoteinna
- Mkurugenzi mkuu wa TACRA--Issue ya mkataba wa kuchukua pesa za serikali kutoka kwenye simu za ndani na transaction nazo.
- Mkurugenzi wa Vipimo--Issue ya Vipimo vya kupima mafuta.
- Mkurugenzi mkuu wa Kupambana na Rushwa..Issue ya Uzembe na kushamiri kwa Rushwa.