qq.com
JF-Expert Member
- Jan 9, 2012
- 367
- 123
Hii album mpya ya UTAMU WA YESU nimeiingiza katika laptop ili niweze kuicopy lakini haionekani kabisa wakati ninayo DVD room.nimemuuliza na mwenzangu akasema hivyo.nafikiri wamefanya hivyo ili kuepuka watu kuichakachua.
hoja ya msingi hapa ni je wametumia technlojia ipi?
hoja ya msingi hapa ni je wametumia technlojia ipi?