Umushoshoro
Senior Member
- Apr 15, 2008
- 121
- 39
Pia kuna waliokufa kwa kuliwa na Simba na wanyama wengine kama Chui kwa ajili ya kuhamishwa kwa nguvu kutoka katika maeneo yao kwenda porini kuanzisha vijiji vya ujamaa.
Wapo waliosekwa rumande muda mrefu bila ya kufunguliwa mashtaka kama James Mapalala
Wapo waliosekwa rumande muda mrefu bila ya kufunguliwa mashtaka kama James Mapalala