Waliotandikwa viboko Ikulu hawa hapa

Nyati

JF-Expert Member
Mar 6, 2009
2,489
1,814
Wakuu,

Kumekuwepo na tetesi za muda mrefu kuwa wakati wa Mwalimu kuna watu waliitwa Ikulu wakatandikwa viboko baada ya kuenda kinyume na taratibu. Jana nilihakikisha hilo wakati wa kipindi cha Mwanzo Mwisho - TBC1. Tetesi zilieleza kuwa baada ya kuamuriwa kuwa watu waende JKT. Vijana wa Chuo Kikuu walianzisha kile wanachokiita KUNJI i.e MGOMO. Basi Maofisa usalama wa Taifa wakawaongopea viongozi wao kuwa Mwl. kawaandalia Ubwabwa wa nazi Ikulu. Nao bila kushtukia mtego uchwara huo wakapanda magari kwenda Ikulu. Kufika huko wakaambulia BAKORA sita matakoni badala ya UBWABWA. Na kusimamishwa chuo pia. Watu walihabarisha pia kuwa baada ya watu hao kupata madaraka wali-livenji kwa kuiua JKT.

Watu wengi wamekuwa wanatoa majina ya waliocharazwa ambayo yamekuwa yanatofautiana mara kwa mara. Hivyo kama wewe wawafahamu waliocharazwa na aliyekuwa anawacharaza tupe majina
 
Mimi nilihakikisha kuwa kweli watu walitandikwa viboko sita. Mtangazaji ndivyo alivyosema lakini majina hakutaja. Ndo maana nikakumbuka zile tetesi na kuomba mwenye uhakika.

Pia kuna mmoja eti alipoona bakora zachanganya akapanda ukuta akakimbia / Jina limekuwa likitajwa lakini zote ni tetesi. Kama wewe ujui subiri JF ina kila rika lazima mmoja wetu anawafahamu atatujuza
 
Nasikiaga hiyo JKT inaongezaga uzalendo eti. Hili huwa lina ukweli wajameni???
 
Sasa Mkishawajua ndio iweje?
Nimekumbuka pia Waziri aliyewahi kucharazwa viboko kwa sababu ya rushwa - enzi za mwalimu!
Kama watu waliweza kuchapwa kule Kagera akaonekana vingine na kufukuzwa kazi? Utofauti uko wapi maana wote walitaka kuweka nidhamu.
 
..binafsi nadhani hiki kilikuwa kitendo cha aibu kwa Mwalimu kuwachapa viboko wanafunzi wa Chuo Kikuu.

..Mwalimu mwenyewe aliwahi kutuasu kwa ile kauli yake ya "nguvu za hoja na siyo hoja za nguvu."

..sasa hapa naona Mwalimu got his way kwa kutumia viboko na siyo hoja.
 
..binafsi nadhani hiki kilikuwa kitendo cha aibu kwa Mwalimu kuwachapa viboko wanafunzi wa Chuo Kikuu.

..Mwalimu mwenyewe aliwahi kutuasu kwa ile kauli yake ya "nguvu za hoja na siyo hoja za nguvu."

..sasa hapa naona Mwalimu got his way kwa kutumia viboko na siyo hoja.

Joka,

I was just about to approach this issue with a similarly iconoclastic but more intensely irked view.

Nyerere was too big to engage university students in this manner, worse still, if the account is accurate, he employed despicable deceit in the whole enterprise. For such a supposedly elevated statesman, this betrays a lack of judgement, unnecessary forcefulness and an almost Mao-like affinity to intolerance. Mao used the same dirty tactics to soliciti supposedly "constructive criticism" from the people, only to round up the Chinese people who took him up on his offer and send them languishing into the western china prisons and most forbidding rural areas, sorta like the Chinese version of Russia's Siberia.

Come to think of it, Nyerere resembles Mao more than any other leader in his approach towards leadership, from the quixotic reclusive inward focusing and lockdown on the populace down to the Red Book imitation (Azimio la Arusha and his countless books), vijiji vya Ujamaa (read "The Great Leap Forward" and "The Cultural Revolution") even the whole hoopla of "zidumu fikra za mwenyekiti" is taken from the Mao playbook, he was a miniature African Mao, repressing his people with the yokes of single party, cult of personality, the controversial preventive detention and a flamboyant dislike of private enterprise.

Nyerere was a passive aggressive monster who feigned sainthood while killing millions by the calculated hand of state machinery, a docile civil service, a purposely uneducated population and mockery of checks and balances.

This viboko incident demonsrtates not even a tip of the tip of the iceberg in this man's quest for unrelenting and total domination of Tanzania.
 
Hapana bana, binafsi nimeenda JKT 1990's utawala wa Mkapa. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!

Masatu punguza ushabiki kwa Mkapa ndugu yangu. Mkapa kaingia madarakani December 1995, wakati huo JKT kwa mujibu wa sheria hawakuwa wanaenda tena.

Nadhani intake ya mwisho iliyotumikia mwaka mzima ilikuwa ni 1992, baada ya hapo wakabadilisha mfumo wakasema sasa itakuwa miezi 6 badala ya mwaka mzima. Zilienda intake 2 au 3 za miezi sita sita na baada ya hapo hakuna intake yoyote iliyoenda.

Mwaka 1994 kulikuwa na tetesi kwamba mfumo wa mwaka mzima, lakini haikuwa hivyo na badala yake hawakwenda kabisa. Waliomaliza vyuo vya ngazi ya cheti na waliomaliza Form 6 baada ya mwaka 1994 hakuna aliyekwenda JKT kwa mujibu wa sheria.

Kwa hiyo utawala wa Mkapa (Dec 1995 - Dec 2005) hakukuwa na intake hata moja ya JKT. Labda kama unaongelea JKT ya kujitolea, lakini siyo ya mujibu wa sheria.

Kama ulienda JKT enzi za utawala wa Mkapa ilikuwa ni mwaka gani (specific year) siyo useme in 1990s, which is a general statement ili kutudanganya. Hata Mwinyi alikuwa madarakani mpaka 1990s, wewe unaongelea 1990s ya lini?

Wewe huwa unapenda watu waje facts, ninaomba niku-challenge uje na facts, sema ni mwaka gani ulienda, ulikuwa operation gani na ulikuwa kambi gani?
 
Siku wanafunzi wa Mlimani walipogoma (Jumamosi, Oktoba 22, 1966), hakuna hata mmoja aliyechapwa viboko!

Ila mwaka 1965 kufuatia maandano ya kuipinga serikali ya Amerika kujizika katika vita ya Vietnam - maandamano yaliyosababisha baadhi ya magari ya u-balozi wa Amerika kuharibiwa, na wanafunzi kuitwa huko Ikulu, kuna mmoja wa wanafunzi alichapwa viboko kweli - jina Mwabulambo!
 
Samwel Sita aliwahi kula bakora zamani baada ya kugoma Chuo
 
Samwel Sita aliwahi kula bakora zamani baada ya kugoma Chuo

Another thing.

This thread illustrates vividly the lack of documentation in our country.Yaani hili lingetokea Amerika kungekuwa na vitabu vingeandikwa -hell watu wanaandika vitabu kuhusu the most trivial of things huko- lakini mpaka leo hatuna documentation itakayoonyesha kwamba wangapi walichapwa, was it Mwabulambo alone au walichapwa wengi.

Na hii imetokea in the mid '60s tu hapo, watu kibao waliokuwepo bado wapo hai - we even have a member here who scantily volunteered that he was among the flogged- sasa miaka inavyozidi kwenda ndivyo Nyerere atakavyozidi kuonekana Kinjekitile Ngwale, siajabu waka exagerate kwamba kifimbo cha Nyerere kiliwachapa bakora bila yeye mwenyewe kukishika.

Bottom line is we need to document stuff. Sasa hivi tuna ex presidents wawili hawana kazi, na sijasikia chochote kuhusu memoirs in the works. I hope Mkapa is preparing his, being the literary man he is, where he will answer all the questions surrounding his presidency.Speaking of questions surrounding these people, maybe that is the reason they don't write memoirs, too many unanswered and potentially incriminating questions.
 
Siku wanafunzi wa Mlimani walipogoma (Jumamosi, Oktoba 22, 1966), hakuna hata mmoja aliyechapwa viboko!

Ila mwaka 1965 kufuatia maandano ya kuipinga serikali ya Amerika kujizika katika vita ya Vietnam - maandamano yaliyosababisha baadhi ya magari ya u-balozi wa Amerika kuharibiwa, na wanafunzi kuitwa huko Ikulu, kuna mmoja wa wanafunzi alichapwa viboko kweli - jina Mwabulambo!
Aliyechapwa viboko alikuwa ni Mwabulambo (RIP) Yeye alichapwa kwa kukaidi amri ya Mwalimu Nyerere ya kuwataka wanafunzi waombe msamaha ubalozi wa Uholanzi baada ya maandamano yao na kupindua na kupiga mawe motakaa ya ubalozi. Mwalimu aliwaita Ikulu kuwataka waombe msamaha. Kuna baadhi walikataa. Alipowauliza ni nani asiyetaka kuomba msamaha Mwabulambo akanyoosha mkono. Akaitwa na akamwamuru poliisi amchape viboko. I know this because the late Mabulambo was my friend.

Kuna mahali Blueray kasema Nyerere aliua mamilioni. Naomba atutajie hata watano tu kati ya mamilioni waliouawa na Nyerere.
 
Aliyechapwa viboko alikuwa ni Mwabulambo (RIP) Yeye alichapwa kwa kukaidi amri ya Mwalimu Nyerere ya kuwataka wanafunzi waombe msamaha ubalozi wa Uholanzi baada ya maandamano yao na kupindua na kupiga mawe motakaa ya ubalozi. Mwalimu aliwaita Ikulu kuwataka waombe msamaha. Kuna baadhi walikataa. Alipowauliza ni nani asiyetaka kuomba msamaha Mwabulambo akanyoosha mkono. Akaitwa na akamwamuru poliisi amchape viboko. I know this because the late Mabulambo was my friend.
Alichapwa viboko vingapi?
 
Aliyechapwa viboko alikuwa ni Mwabulambo (RIP) Yeye alichapwa kwa kukaidi amri ya Mwalimu Nyerere ya kuwataka wanafunzi waombe msamaha ubalozi wa Uholanzi baada ya maandamano yao na kupindua na kupiga mawe motakaa ya ubalozi. Mwalimu aliwaita Ikulu kuwataka waombe msamaha. Kuna baadhi walikataa. Alipowauliza ni nani asiyetaka kuomba msamaha Mwabulambo akanyoosha mkono. Akaitwa na akamwamuru poliisi amchape viboko. I know this because the late Mabulambo was my friend.
Kuna mahali Blueray kasema Nyerere aliua mamilioni. Naomba atutajie hata watano tu kati ya mamilioni waliouawa na Nyerere.


-Kassim Hanga
-Sheikh Othman Sharif
-Dk. Kleruu

-Many of the villagization process victims where the bulk of this accusation is stemming from.Nyerere may not have killed a significant number of people directly, but his policies and mediocrity resulted in the deaths of so many, probably in the million range if not hundred of thousands. We may never know for sure the exact figure due to the nature of the secrecy of the era.

See Pratt, Cranford (1999). "Julius Nyerere: Reflections on the Legacy of his Socialism". Canadian Journal of African Studies 33 (1): 137 – 52. doi:10.2307/486390
 
-Kassim Hanga
-Sheikh Othman Sharif
-Dk. Kleruu

-Many of the villagization process victims where the bulk of this accusation is stemming from.Nyerere may not have killed a significant number of people directly, but his policies and mediocrity resulted in the deaths of so many, probably in the million range if not hundred of thousands. We may never know for sure the exact figure due to the nature of the secrecy of the era.

See Pratt, Cranford (1999). "Julius Nyerere: Reflections on the Legacy of his Socialism". Canadian Journal of African Studies 33 (1): 137 – 52. doi:10.2307/486390
Klerru was killed by a farmer who was angry after Klerru followed him on his farm on sunday. Othman Sharif and Hanga were killed by Karume. Unless you want to say Karume and Nyerere were the same person! Next time clarify basi. Kama wangekufa mamilioni unadhani ulimwengu wa kibepari ungekaa kimya na jinsi walivyokuwa wanapinga ujamaa? We may never know for sure the exact figure simply because that exact figure does not exist.
 
Klerru was killed by a farmer who was angry after Klerru followed him on his farm on sunday. Othman Sharif and Hanga were killed by Karume. Unless you want to say Karume and Nyerere were the same person! Next time clarify basi. Kama wangekufa mamilioni unadhani ulimwengu wa kibepari ungekaa kimya na jinsi walivyokuwa wanapinga ujamaa? We may never know for sure the exact figure simply because that exact figure does not exist.

Hiyo million range ya Bluray si ni genocide hiyo? Au...?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom