Waliosoma Makongo High School karibuni

Waliosoma Makongo High School karibuni

Kwa miaka ya karibuni walikuwepo akina Kisonga, jamaa alikuwa afande mwenye mak*lio makubwa na alikuwa na mambo za ajabu sana
 
Daah Kitambo sana. Ng'umbi, ss hv ni Lt.Col, Meja Harun Mayebe a.k.a Master,Kanyika,Afande Miraji alikuta darasa hatujafagia,akatuambia 'ntawapiga mpaka konda akidai nauli unabaki kusema Miraji! Miraji!Miraji!Miraji.

huyo ndio Miraji katka ubora wake. Alikuwa anatisha jamaa. Mungu amlaze mahala pema peponi.
 
Nawakumbuka vizuri walimu kama, Mr. Kaimbe wa Bios, Madam Rose wa Bios, Luten Kasu, Maganga, Madelemi, Madam Estha wa Math, Mahisa, Malongoli, Mr Chuwa na Major Tarimo wa Computer, Mr Mgallu, Mr. Lisso, Madam mushi, Mama Mchwa, Mkaanga Sumu, Mr Bosco mzee wa Totoz, Dr. Kipanga, Juma Matokeo (r.i.p), Babu Side, Mr. Makene wa Geog, Mr Kipara
 
Wanafunzi wakorofi waliosumbua enzi tunasoma walikuwepo wachora machata kama, Pap 2, T-50, Kitukuu, Nabii, Smoker, AG-31, B-Voker, Nomz Record, na mengneo
 
man mchwa mwanae sasa hivi nasikia mwalimu hapo enzi zao wapo na kina budapest.. na jimbo lao kilio cha wanafunzi..

sitakaa nisahau siku moja mida a saa nne kuelekea saa tano jamaa mmoja alikuwa yupo nje nina mapumzika yakawa yameshaisha miraji akamdaka akiwa NA sabusa tano dah yule msela akaambiwa aweke zote mdomoni na aanze kuzitafuna
 
kuna siku tulikuwa tumekaa nyuma ya madarasa ya biashara enzi izo karibu na office za kifansa kwenye vibweta akapita miraji jamaa mmoja akasimama akamsalimia sisi tukauchuna dah tulichezea makonzi mbaya dah sitakaa ni sahau
 
Haha mkuu uenkmbusha mbali saana ,afane miraji, Babu pale getini,siwezi kusahau niliushwa kichura ktoka Darajani hadi getini kesho yake hoi magoti yaliuma ile mbaya .
 
Miraji noma,kipingu na babu chacha siwezi kuwasahau.mimi ndiye nilyepanda michongoma mwaka 1993 inayozunguka eneo la shule.
 
wapi wazee wa joloo..! kama hujaonja hii kitu basi hujasoma Makongo
 
Nyie wote mliochangia uzi huu wote mlikuwa watukutu sana! Maana wote mnasimulia jinsi mlivyokula makonzi. Nani anamkumbuka Ruth Kitundu, au binti wa Mama Kyulule?
 
Nyie wote mliochangia uzi huu wote mlikuwa watukutu sana! Maana wote mnasimulia jinsi mlivyokula makonzi. Nani anamkumbuka Ruth Kitundu, au binti wa Mama Kyulule?

Ulisoma mwaka gani?
 
Nyambizi sisi ndo wakwanza kufanyia paper ya form four 2001, Yeyeye alikuwa second master alikuwa anawavunja watoto si mchezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom