Mathematical
Senior Member
- Nov 8, 2010
- 120
- 43
Hatari sana uwanja wa damu...mi huwa simsahau dmx alikua mfupi mjeshi
Orando kuna siku jamaa walizingua kufanya usafi halafu fom6 jamaa ticha mmoja cuthbet akaenda kushtaki,jamaa orando akatoa darasa zima mbele ya ofic za get kutoka nje,alipigisha mboko za hatari akisaidiana na tall.hii siku hatareMaseleme dah Afande Kumalija pale Arando
huyo mwenye mustachi ni sir meja beiya,Hahaa, kwembe mzee wa madumu, alinibebesha dumu 46, kwa mara ya kwanza nikaona huruma ya alieka discpline master kpnd kile jina nimesahau jamaa flan alikua white ana mwili mkubwa kias na kiji mustach na manywele, akaniombea msamaha japo jana yake alituchania modo mpaka kwenye mapaja halaf akatuzungusha kantine mda wa lunch, we bwana weee, yan waliokua wamevaa boksa au pichu tu ni mambo nje nje, watu sio kucheka huko cantine yote hoi, orando nae akaja kunikamata kwenye vibweta mda wa darasan, My class teacher PCB Mgomba akanitetea, ndiamkama akanidaka sina pin tai, nikamuoshea kale ka suzuk kake ikaisha, nikadakwa na simu nikapostiwa getn pale kwa kumalija, kila afande anaekuja ni fimbo ni push up. Ile shule kwa kweli imenishepu sana mpake leo nipo panctual na shapu sana. Wapi p.didy, mkisi, tall, Malegesi, bruno, weng sana sana nimesahau majina.
mzee ngamesha alifariki akazikwa kwake mbez kimaraWapi MTOKAMBALI, KWEMBE, NDIYAMUKAMA, NYAHONYO, NZIKU, CHAO bila kuwasahau walimu wng wa darasa wa 4m 5 na 6(HGE) 2011-2013 NGAMESHA na KINYERO..
mzee mbezi mwanae tumesoma nae anaitwa edward mbezi anakaa kino mkwajuniMkuu unamjua Mwl Mgaya au Mwl Mbezi
Sasa hivi ni sajin major wa Jkt TZ yupo juu sana ni mkubwa kwa sasaSasaivi mkuu wa shule ni nani?? Afande bruno yupo? Alinitesa sana yule afande. Nilikuwepo 2001to 2004 af nilikuwa hostel
Hahahah yani kama gazeti la SANI vile....nakumbuka ilikuwa taabu kutoroka mchana,alikuwepo mshikaji babayake ni brigedia basi tulikuwa tunampigia simu dereva wa babayake anakuja mapema tunajaa kwenye gari,getini wakiona gari inatoka makao makuu ina nyota,wanafungua geti kiulaiiiniii,watu haoo uswazi....
yea yule dogo alimkazia na kuna mwamba mmoja wa hkl hv kamaliza duce hapo nziku alimvaa mwamba akamdindia.Mtanganyika wa kweli, umenikumbusha, jamaa kweli alikua anaitwa beiya, io inshu ya kwembe naikumbuka sana ipo kama ulivyoielezea, umenikumbusha na nziku mzee wa misifa anachapa huku kashka fimbo na mikono miwili kuna siku alidindiwa na dogo wa 4m4 pale karbu na kwa secretary sikuamin Nziku alimhanya dogo wa 4m4.
Hii sio shule depo
Kwa sababukwanini