smart area
hapo ni mwendo wa kukimbia kwa kwenda mbele
Matokeo ya form six 2014
mimi nmesoma jkt kipindi mkuu wa shule akiwa ni Mkisi....
Afande Bruno Namkumbuka sana kwenye Kwata daaah wewe acha tu nimesoma pale kuanzia Form one hadi Six ,Nimemaliza form six 2004(EGM) .Nakumbuka sana Mkisi Program daaah alikuwa anatumbonda mbaya ,Nakumbuka siku moja alikuja kutupiga mikwaju class ,mshikaji mmoja anaitwa Gwamaka alipigwa mbaya na Mkisi daaaahhhh wewe acha tu.
Aisee...wapi watoto wa mwakyambiki?!! Hahahaa...waliokuwa wanatoroka after prepo kwenda mwankenja kwa maduu.
Kimbe mbe ni siku ya jumamosi inspection for hostellers...hahahahahahaaa...wenye madem zao viranja sasa!!!