Mtamile
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 2,838
- 1,266
Salaam kwa wote mliowahi kusoma Shule ya Sekondari ya Jitegemee lengo la uzi huu ni kusalimiana na kukumbushana vitu vizuri na vya kipekee vinavyopatikana/vilivyokuwa vinapatikana shuleni Jitegemee
binafsi nakumbuka sana vitu vifuatavyo
1. Mkungu Tree: Huu ni mti unaotumiwa sana kwa ajili ya kufanyia vikao na School baraza
2. Uwanja wa damu: hapa ndo pale kwata huwa inafanyikia
3. Smart Area: ukifika hapa utake usitake lazima ukimbie
4. Sanga Hall: haa hapa ndo sehemu ya kupatia chakula kwa wanafunzi wa hostel
Watu amabao siwezi kuwasahau ni Pamoja na Ndyamkama, Mbwenge, Afande Tall, Afande Kajimala, Wajadi(huyu kwa
waliokaa Hostel hadi miaka ya 2007 nadhani wanajua habari zake)
unaweza ukaongezea unachokikumbuka zaidi ukiwa Jitegemee Sekondari
smart area
hapo ni mwendo wa kukimbia kwa kwenda mbele
Matokeo ya form six 2014