waongo,, hao. Wandanganya donor wakati dawa wanazitupa
Tatizo la kukaa mijini ! Nasikia vijijini watu wengi wamechanja na hiki ni kitu kizuri. Kama wanatupa ni tatizo la ununuzi maana hizi chanjo zinatakiwa kukaa mpaka miaka 2-3
waongo,, hao. Wandanganya donor wakati dawa wanazitupa
Unabisha au unahoja? Njoo wilaya ya Geita ufuatilie kama nilichoandika ni uongo.Siyo kweli ...watu wamegoma chanjo huo ndiyo ukweli hata vijijini