Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,014
- 9,883
Waziri Ummy Mwalimu amesema ugonjwa wa UVIKO19 bado upo na namna nzuri ya kuepuka maradhi hayo ni kupata chanjo hivyo ametoa wito kwa wananchi kupata chanjo ambazo zinaendelea kugawiwa bure.
Waziri amesema hayo katika ziara ya Rais Samia Mkoani Njombe ambapo amesema siku ya Jumamosi, Agost 13 kutakuwa na tamasha kubwa ambapo wanamuziki wote watakuwepo mkoani Njombe kuhamasisha utoaji chanjo.
Waziri Ummy amesema hadi sasa watanzania milioni 15.5 wamepata chanjo ya UVIKO 19
Waziri amesema hayo katika ziara ya Rais Samia Mkoani Njombe ambapo amesema siku ya Jumamosi, Agost 13 kutakuwa na tamasha kubwa ambapo wanamuziki wote watakuwepo mkoani Njombe kuhamasisha utoaji chanjo.
Waziri Ummy amesema hadi sasa watanzania milioni 15.5 wamepata chanjo ya UVIKO 19