#COVID19 Waliopata chanjo ya UVIKO-19 Tanzania wafikia milioni 11

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu akizungumza mkoani Tanga wakati akifungua kikao cha viongozi wa Dini pamoja na wadau wengine maendeleo kujadili mambo mbalimbali ikiwemo mikakati ya uhamasishaji na elimu kuhusu chanjo ya UVIKO 19 amesema zaidi ya Watanzania Milioni 11 wamepata chanjo ya UVIKO 19.

Waziri Ummy, ameeleza kuwa zaidi ya watu Milioni 11 kati ya Milioni 30.7 wamepatiwa Dozi kamili ya chanjo ya UVIKO 19 huku Serikali ikongeza vituo vya utoaji chanjo hadi kufikia 7,000 ndani ya miezi mitano kutoka vituo 550 vilivyokuwepo awali kitaifa.

Zoezi la chanjo ya UVIKO19 ambalo lilizinduliwa na Rais Samia Suluhu takribani mwaka mmoja uliopita limeonesha kuwa na mapokeo chanya kutoka kwa sehemu kubwa ya Watanzania.

Samia chanjo.jpeg
 
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu akizungumza mkoani Tanga wakati akifungua kikao cha viongozi wa Dini pamoja na wadau wengine maendeleo kujadili mambo mbalimbali ikiwemo mikakati ya uhamasishaji na elimu kuhusu chanjo ya UVIKO 19 amesema zaidi ya Watanzania Milioni 11 wamepata chanjo ya UVIKO 19.

Waziri Ummy, ameeleza kuwa zaidi ya watu Milioni 11 kati ya Milioni 30.7 wamepatiwa Dozi kamili ya chanjo ya UVIKO 19 huku Serikali ikongeza vituo vya utoaji chanjo hadi kufikia 7,000 ndani ya miezi mitano kutoka vituo 550 vilivyokuwepo awali kitaifa.

Zoezi la chanjo ya UVIKO19 ambalo lilizinduliwa na Rais Samia Suluhu takribani mwaka mmoja uliopita limeonesha kuwa na mapokeo chanya kutoka kwa sehemu kubwa ya Watanzania.

View attachment 2298648
Sasa hivi wanacho fanya ni kupotosha wafadhiri wa chanjo eti milioni 11hivi kuna mtz yoyote sasa hivi unaweza kumwambia akachanje chanjo asikuone wewe ni mwendawazimu
 
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu akizungumza mkoani Tanga wakati akifungua kikao cha viongozi wa Dini pamoja na wadau wengine maendeleo kujadili mambo mbalimbali ikiwemo mikakati ya uhamasishaji na elimu kuhusu chanjo ya UVIKO 19 amesema zaidi ya Watanzania Milioni 11 wamepata chanjo ya UVIKO 19.

Waziri Ummy, ameeleza kuwa zaidi ya watu Milioni 11 kati ya Milioni 30.7 wamepatiwa Dozi kamili ya chanjo ya UVIKO 19 huku Serikali ikongeza vituo vya utoaji chanjo hadi kufikia 7,000 ndani ya miezi mitano kutoka vituo 550 vilivyokuwepo awali kitaifa.

Zoezi la chanjo ya UVIKO19 ambalo lilizinduliwa na Rais Samia Suluhu takribani mwaka mmoja uliopita limeonesha kuwa na mapokeo chanya kutoka kwa sehemu kubwa ya Watanzania.

View attachment 2298648
Uongo
 
Sie Tunataka Pesa …uzalendo ni kupigania maendeleo ya Taifa lako kwa gharama zote

jikinge na Gonjwa Hatare la watu kudondoka na kufa ghafla na limeanzia huko Kwa Msema kweli wa Ruangwa

IMF ituletee Trillion nyingine kupambana na gonjwa hilo hatare linalosababishwa na Panya na fisi
waongo,, hao. Wandanganya donor wakati dawa wanazitupa
 
Sasa wanachoma za nini wakati dunia nzima haona korona?.

Naungana na Marehemu,, hii ni biashara tu hakuna lolote.
Wenzako wanachukua hela na chanjo zinamwagwa tu huko mitaani... t
Yule kichaa ushamba ulimjaa kujifanya mjuaji.
 
Sasa hivi wanacho fanya ni kupotosha wafadhiri wa chanjo eti milioni 11hivi kuna mtz yoyote sasa hivi unaweza kumwambia akachanje chanjo asikuone wewe ni mwendawazimu
Nyingi wanachanja vijijini, inapigwa mbiu ya chanjo, watu wanaweka chanjo sehemu wanapopita watu na kuwalaghai kwa maneno chungu nzima.
 
Back
Top Bottom