Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Mnyalu naamini ulimaanisha kuheshimiana kumepungua
nilikuwa nachungulia tu kama Ben nikaona pweint yako ni ya msingi sana
Mmm nashukuru kwa sahihisho!
Mnyalu naamini ulimaanisha kuheshimiana kumepungua
nilikuwa nachungulia tu kama Ben nikaona pweint yako ni ya msingi sana
% hii ni katika katika majumuisho ya ofisi ninayofanya kazi,mtaa ninaoishi, shule
hahahahaha!Nilijua utapagongea SENKSI tu!
Lakini ulichunga vimeo vile kibao broda!...Maana wale huwa wanalipia wenyewe gharama za eneo la tukio, mengine mnaelewana mkiwa huko!
He.....BRODA!hahahahaha!
kamgongee SENKSI stv!maanake ''ALIDUU ZE NIDIFUL'' kuna trekta moja pale linaitwa sijui ASHURA/SELINA...DAH!...''steve aliitengeneza njia ya bwana,na AKAYANYOOSHA MAPITO YAKE....''
watu WEWEEEEEEEEEEEEEEE
hommie bana!sasa wewe unataka uogopwe kama mungu?
THE WAY I SEE THINGS NI KWAMBA wanaume wengi hawatarajii wake zao wanaweza kuwa wakorofi HASA UKISHAWAWEKA NDANI JUMLA JUMLA...
WEWE SI MWANANDOA na hautakiwi kabisa kuchangia.sorry
mwaga dataaz kiongozi
BTWicnic papo vizuri
Nikisoma katikati ya mistari, hapa naona kuna jambo linalozungumziwa ambalo liko kinyume na maadili ya ndoa. Ila kiukweli Pikiniki hapafai! Nitarudi tena Ar.Nilijua utapagongea SENKSI tu!
Lakini ulichunga vimeo vile kibao broda!...Maana wale huwa wanalipia wenyewe gharama za eneo la tukio, mengine mnaelewana mkiwa huko!
He!hahahahaha!
kamgongee SENKSI stv!maanake ''ALIDUU ZE NIDIFUL'' kuna trekta moja pale linaitwa sijui ASHURA/SELINA...DAH!...''steve aliitengeneza njia ya bwana,na AKAYANYOOSHA MAPITO YAKE....''
watu WEWEEEEEEEEEEEEEEE
Usijali broda. Shemejiye niko hapa nanasa matukio. Namba ya mshiki hii hapa!!!!!He.....BRODA!
Hivi mywife wako huwa hatembelei huku?
HAHAHAHAHAHA!He.....BRODA!
Hivi mywife wako huwa hatembelei huku?
Ndugu, hapa naona kila mtu anakupiga chenga tu usipate jibu. Hata humu JF ukiuliza wangapi wameshawahi kuwa cheated, au ni wahanga wa cheating, server itazidiwa. Kila unakopita malalamiko ni hayohayo. Wengine wana ushahidi, wengine wanahisi tuu. Simu ya mwenzi, email, gari etc ni kama kambi ya kipindupindu. Watu wameweka password mpaka kwenye naniliu!75% ya wanandoa naowafahamu wana mahusiano ya mapenzi nje ya ndoa wanawake kwa waume .
Naomba kuuliza hivi ni jambo la lazima kwa wana ndoa kuwa na uhusiano wa kimapenzi nje ya ndoa? Ni nini kinapelekea kuwepo kwa tabia hii.!!!!!!!
75% ya wanandoa naowafahamu wana mahusiano ya mapenzi nje ya ndoa wanawake kwa waume .
Naomba kuuliza hivi ni jambo la lazima kwa wana ndoa kuwa na uhusiano wa kimapenzi nje ya ndoa?
Mara nyingi mambo kama haya hupelekea hali hii;
1. Historia, au malezi ya kushudia wanandoa wakiwa na mahusiano nje ya ndoa, na kutaka nao kuonja!
2. Matarajio binafsi katika ndoa kama vile kuuziwa simu kiubungo, au kumpata yule asiyeendana na tabia zako kama vile usafi, ulokole, nk. hii inakufanya unaswe na msafi au mlokole mwenzio kwa urahisi sana.
3. Ndoa za kisasa za kuonana na kuoana ndani ya wiki moja tu, utampata ali/uliyemtamani, na si kumpenda. Utakaporealize hilo nini kitafyatia?....
4. Ndoa za kimila, zinazopelekea wasiopendana kuoana na kuwaacha wapenzi wao waoane na wengine, je ni kweli wataachana? Si rahisi......
5. Kutokuwa na confidence kwa fisrt lovers (this is especially for women), kuwa hata mkikutana baada ya miaka 10, 15.... uwezekano wa kufanya ni mkubwa sana.
6. Kuachana na mpenzi wako wa zamani kwa kubagain, hii ni hatari sana kwa ndoa tarajiwa. Kambi ya mapenzi unapaswa kunyea daima, si kama kambi zingine.
7. Kutokuwa na mafundisho ya ndoa kwa kiwango tosha.
8. Tamaa ya mapenzi, au vitu vingine kama pesa nk.
9. Kubadilika kwa hali ya uchumi, mfano kama mlioana baada ya kujenga, kuwa na usafiri, na kazi nzuri; then vyote vikatoweka. Kama mpenzi wako alivipenda vitu hivyo, basi ataanza kuwatafuta walionao.
10. Ushauri mbovu/mbaya kwa marafiki/jamaa, kuwa iwapo mwenzio anatoka nje ya ndoa, basi ili umkomoe nawe utoke. Hapa dawa ya moto sio moto, kama ilivyo ada. Unapaswa kutafuta suluhu nyingine, na si hivyo.
Just to mention some........
75% ya wanandoa naowafahamu wana mahusiano ya mapenzi nje ya ndoa wanawake kwa waume .
Naomba kuuliza hivi ni jambo la lazima kwa wana ndoa kuwa na uhusiano wa kimapenzi nje ya ndoa? Ni nini kinapelekea kuwepo kwa tabia hii.!!!!!!!
usiombee........ukijagundua utapata gonjwa la moyo.....omba........ Mungu sana......si lazima, mie ni mwana ndoa na sina uhusiano wowote na sidhani kama kuna kitu kimenipungukia kwenye ndoa yangu.
usiombee........ukijagundua utapata gonjwa la moyo.....omba........ Mungu sana......
Waswahili wanasema .........................tia maji! Mungu akuepushie!
mungu aniepushie Inshaallah
anipe nguvu za kuepuka majaribu ya ulimwengu, na awape nguvu ya kuyaepuka wapendwa wote wa JF hapa. ....amen
75% ya wanandoa naowafahamu wana mahusiano ya mapenzi nje ya ndoa wanawake kwa waume .
Naomba kuuliza hivi ni jambo la lazima kwa wana ndoa kuwa na uhusiano wa kimapenzi nje ya ndoa? Ni nini kinapelekea kuwepo kwa tabia hii.!!!!!!!
....sasa haijulikani unawafahamu wanandoa WOTE DUNIANI,au ni wa hapo mtaani kwenu