Waliomuua Dr.Mgimwa hawa hapa

Waliomuua Dr.Mgimwa hawa hapa

Haya yooote ya ukatili na uwizi wanayafanya CCM kwa uwazi kabisa....lkn mbona wanaendelea kushinda kwenye uchaguzi mbalimbali....Tena kwa kishindo??


Huyu Mgimwa Jnr ndio "mpuva" kweliii....Yaani udade akatagike,Ikiwembo kilimugati vanu vakukola ingoro yeye anapandishwa jukwaani kuomba kura,Na kwa CCM walivyo jeuri..huyu mwakani harudi tena bungeni,Walimpa ili kumtuliza,Yaani bwana Mgimwa Jnr ukaamua kupotezea kifo cha Mzee kisa madaraka???
 
INTERGRITY is a threat to CCM, whoever wants to join CCM make sure your Intergrity is very low as their thinking capacity.
 
kwa hiyo mwanae alipewa zawadi ya ubunge kule kalinga, ohooooo Gosh! ubunge wa damu ya baba yake?
 
Naombea Tanzania litokee garika na kumaliza kizazi chote cha sasa. Kama mambo kama haya yanatokea na waliobaki ambao ndiyo Mgimwa alikuwa anawatetea hawana cha kumuenzi zaidi ya kuandika hapa na kusubiri mengine makubwa zaidi then wote ambao ni watetezi wawa nyonge walishakufa.
 
Haya yooote ya ukatili na uwizi wanayafanya CCM kwa uwazi kabisa....lkn mbona wanaendelea kushinda kwenye uchaguzi mbalimbali....Tena kwa kishindo??


Huyu Mgimwa Jnr ndio "mpuva" kweliii....Yaani udade akatagike,Ikiwembo kilimugati vanu vakukola ingoro yeye anapandishwa jukwaani kuomba kura,Na kwa CCM walivyo jeuri..huyu mwakani harudi tena bungeni,Walimpa ili kumtuliza,Yaani bwana Mgimwa Jnr ukaamua kupotezea kifo cha Mzee kisa madaraka???

Yule dogo ni irrational sana. How can you team up with the gang that killed your father?
 
Haya yooote ya ukatili na uwizi wanayafanya CCM kwa uwazi kabisa....lkn mbona wanaendelea kushinda kwenye uchaguzi mbalimbali....Tena kwa kishindo??


Huyu Mgimwa Jnr ndio "mpuva" kweliii....Yaani udade akatagike,Ikiwembo kilimugati vanu vakukola ingoro yeye anapandishwa jukwaani kuomba kura,Na kwa CCM walivyo jeuri..huyu mwakani harudi tena bungeni,Walimpa ili kumtuliza,Yaani bwana Mgimwa Jnr ukaamua kupotezea kifo cha Mzee kisa madaraka???

mwanae atakuwa hajui chochote ila tetesi nyingine ni kwamba Mbunge jimbo jirani na la Kalenga nae anahusika katika kifo cha marehemu Mgimwa kwa 100%
 
Hii habari ya UKWELI.....ESCROW monies killed Dr. Mgimwa....hata Kafulila kasema mara nyingi sana kuhusu hili...!!!!

So Tanzania, ni zaidi ya uijuavyo....TUTAFANYA MAKOSA MAKUBWA SANA KTK KATIBA PENDEKEZWA tukiipitisha, kwani ikiwa kuanzia Rais, Waziri Mkuu hawataweza KUSHTAKIWA ikiwa walifanya maovu in public offices MARA BAADA ya kustaafu ni KOSA KUBWA SANA.....

=> Haya yote yataisha ikiwa tu RASIMU YA KATIBA ya Jaji Warioba ITARUDIWA UPYA BUNGENI....!!

Upo sahihi,mkuu
 
= wajadiliane

Huwa napenda sana kusoma coment zenu wapenz na mashabiki wa chama dola hasa ktk wakati mgumu kama huu,misimamo yenu na mielekeo yenu kisiasa huwa inapotea kila mtu na njia yake.umoja wenu huwa unatoweka.maisha yenu huwa yanavurugika,ilimradi kunakucha na kunakuchwa.teh teheeee...!mambo vipi lakini mdada?
 
Haya yooote ya ukatili na uwizi wanayafanya CCM kwa uwazi kabisa....lkn mbona wanaendelea kushinda kwenye uchaguzi mbalimbali....Tena kwa kishindo??


Huyu Mgimwa Jnr ndio "mpuva" kweliii....Yaani udade akatagike,Ikiwembo kilimugati vanu vakukola ingoro yeye anapandishwa jukwaani kuomba kura,Na kwa CCM walivyo jeuri..huyu mwakani harudi tena bungeni,Walimpa ili kumtuliza,Yaani bwana Mgimwa Jnr ukaamua kupotezea kifo cha Mzee kisa madaraka???

...Dr.mgimwa hakufa kwa coincidence kipindi pesa hii zinachotwa......yote yalipangwa....Dr.Mgmwa kwa uzalendo wake asingekubaliana na wezi hawa...na walilijua hili wakamfanya walivyomfanya.....Kitu kinachosikitisha sana ni kuona mtoto wake akifanywa pa kutokea....Hadi sasa kwa mazingira haya na jinsi kifo cha mzee kilivyotokea nilitegemea mtoto wake mbunge awe ameshaanzisha uchunguzi binafsi wa kifo cha baba yake....lakini naona dogo amelemaa na ubunge wa kupewa...Inasikitisha sana....
 
Sasahivi ukitunga stori yoyote ile ya uongo mradi umeweka esrow humo ndani lazima upate wachangiaji wengi sana
 
Hili boya linauliza wako wapi sasa?????? Saada ni jina la binadamu au ngombe??? mtawatetea sana lakini mwisho wao unafika
 
...Dr.mgimwa hakufa kwa coincidence kipindi pesa hii zinachotwa......yote yalipangwa....Dr.Mgmwa kwa uzalendo wake asingekubaliana na wezi hawa...na walilijua hili wakamfanya walivyomfanya.....Kitu kinachosikitisha sana ni kuona mtoto wake akifanywa pa kutokea....Hadi sasa kwa mazingira haya na jinsi kifo cha mzee kilivyotokea nilitegemea mtoto wake mbunge awe ameshaanzisha uchunguzi binafsi wa kifo cha baba yake....lakini naona dogo amelemaa na ubunge wa kupewa...Inasikitisha sana....

Kwahiyo ulitaka akifanya uchunguzi binafsi aitishe press conference? BTW yumo humu JF
 
mwanae atakuwa hajui chochote ila tetesi nyingine ni kwamba Mbunge jimbo jirani na la Kalenga nae anahusika katika kifo cha marehemu Mgimwa kwa 100%

Mahmoud mgimwa huyu kanjanja wa elimu?
 
Watu wa kalenga mwamba wenu umeuliwa na hli li chama lakn bado mnalichagua, mbaya sana hii
 
Back
Top Bottom