Waliomuua Dr.Mgimwa hawa hapa

Waliomuua Dr.Mgimwa hawa hapa

nimesikia mengi sana kuhusu escrooo hatimae na hili nalo nimelisikia ngoja nisafishe sikio niendelee kusikia
 
Hao mafisadi Wa CCM walianza wakamuua mwalimu Nyerere kwanza wakauza mashirika ya umma wakauza mbuga zetu..

Wakauza madini yetu......wakauza gesi yetu........wakaaza kugawana pesa za kodi zetu na za wahisani kipitia Richmond...EPA.....IPTL na sasa ESCROW akaunti na wanaendelea kuua hata Mimi niandikae hapa wanaweza kuniwinda wakaniua Kwa sumu ya Mwakyembe au wakanitindikali au wakanimabwepande kabisa......lakini siogopi kupayuka hadharani maovu ya mafisadi Wa CCM.....
 
Loh! baada ya kuua baba mtoto anapewa rambirambi ya ubunge, na kama yuko makini kichwani bora aachie huo ubunge aende akafanye yake, ccm noma sana walimsimamisha kwenye majukwaa kupiga kampeni hata 40 hajamaliza pole kwa wafiwa.
 
Hawa mafisadi ni kina NANI mpaka washindwe kuchukuliwa hatua- au ni Kama mafia cartel na freemasonry Kule Marekani hebu mtoa mada tujuze
 
Damu ya mgimwa inawatafuna wote na ktk hili haponi hata mmoja.alianza kusema mwigulu juzi kuwa wote wakamatwe wapelekwe mahakamani na sheria ichukue mkondo wake.pesa yote irudishwe serikalini kusaidia kununua dawa na mikopo kwa wanafunzi
 
Kuna mwandishi mmoja wa hadithi kwa Jina Mohamed ... kutoka visiwani hodari sana wa kuandika kuhusiana na upelelezi.
Habari hii inajaribu kuhusisha mfululizo wa matukio na kifo cha waziri Mgimwa. Inashawishi.
 
Mafisadi ni mfumo.....system nzima ya chama cha mapinduz ya CCM na baraza lote LA mawaziri wakiongozwa na mzee Wa vijisenti.
 
Back
Top Bottom