MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,172
- 23,974
- Thread starter
- #141
Mimi nimeuliza maswali kama una majibu sahihi unaweza kunipatia!So wewe Unafurahia uonevu anafanyiwa mdude
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimeuliza maswali kama una majibu sahihi unaweza kunipatia!So wewe Unafurahia uonevu anafanyiwa mdude
Mimi sio hakimu wa kesi yake!So unakiri kabambikiziwa kesi kutokana na aina ya siasa zake?
Siasa za Tanzania zina wenyewe!Mkuu, kama sikosei, kwa bandiko hili, umejitanabahisha kuwa wewe binafsi ni msemaji wa “wenye siasa”. Sijui ni kina nani hao. Utaeleza ukipenda.
Halafu, ulichoandika hapa ni kama unatufikishia ONYO lao kwetu kwamba tusithubutu kabisa kuwakosoa (critique) wazi wazi kwa vile wana uwezo wa kutupitisha katika bonde la mauti na asiwepo mtu yeyote wa kutusaidia wala kuwachukulia hatua. SIO?
Basi vyema. Tunashukuru kutufahamisha hali halisi ya kisiasa iliyopo nchini leo hii. Itakuwa vyema zaidi ukitufahamisha hao “wenye siasa” ni kina nani ili tujihadhari na anga zao kabisa.
Kwa kuanzia, nimeshawapa tahadhari vijana wangu wasijihusishe kabisa na mijadala na harakati za demokrasia na haki za binadamu hapa nchini na wajitahidi sana kujua kinachoitwa “realpolitik” ili kuepuka masahibu kama yanayomfika mdude chadema. NIKO SAHIHI?
Duh!Mtu mwenyewe anaitwa mdude, sasa unategemea nini ?
Baswahili,Kabendera na Lissu hawana hamuKakonda!
Huku mashabiki wake wakiwa wanaendelea kula maisha
Wajinga ndio waliwao!N kweli kabisa, wamemtosa aisee.Inabidi kuwa makini sana kwenye siasa ya nchi hii.
Kwa nini waliokuwa wanamsifu na kumshangilia wamemkimbia?Itoshe tu kusema, anaendelea kunyanyaswa na kuonewa na serekali ya Magufuli.
Wakati akiwapa burudani mlikuwa pamoja lakini kwa sasa mko kwenye vibodi vyenu!Tuliokuwa tunamshangilia mdude wote kwa sauti moja tuseme tupoooo!, kumdhihirishia mleta mada kama tupo na tunaendelea kumshangilia nyuma ya vibodi vyetu.
Duh!Binafsi sio tu nataka familia yake iteseke napenda huyu Mdude Chadema afungwe kifungo kirefu tu!
Mkuu wana kiherehere sana!Duh!
Mdude kakimbiws. Kqlabaki peke yake anahangaika"A picture is worth a thousand words"
View attachment 1641752
Samahani nimeshindwa kuielewa hoja yako!Mkwawa aliishaje! Hao aliokuwa akiwapigania walimsaidia nini? Ukikosa hela usiwe na hasira na watu wengine.
Kwani wewe na wenzako mlimuweka huko jela mmepata nini? Kama sio ukosa akili ?Siasa za nchi hii ukizivamia bila kujua vizuri historia yake lazima zitakupeleka sehemu ambayo ulidhani haiwezekani!
Wanasiasa wanaozijua vizuri siasa za nchi hii kwa sasa wako na familia zao huku wale ambao walizivamia bila kuzijua kwa sasa wako sehemu ambayo hawakutegemea!
Anayejiita ''Mdude Chadema'' ni moja ya watu waliozivamia siasa nchini bila kuwa na ufahamu mpana!
Shangwe na sifa alizokuwa anazipata kwenye mitandao ya kijamii zilimpa sense of invincibility fable! Akadhani ni zaidi hata ya wale wanaomsifia na kumshangilia!
Anayejiita ''Mdude Chadema'' hakujua wanaomsifia na kumshangilia wanamuona kama mtoa burudani kwa sababu baadhi ya watanzania wanazichukulia siasa kama burudani!
''Sense of invincibility fable'' ilimfanya azidishe burudani zake ambazo kiuhalisia hazikuwa na mwelekeo!
Baada ya ''kuguswa'' na wenye siasa, kwa sasa waliokuwa wanampa sifa na kumshangilia hawaonekani tena! Wamehamia kwa watu wengine ambao matendo yao ya kisiasa pia ni kama watoa burudani!
Nadhani anayejiita ''Mdude Chadema'' hakuwahi kuyasoma maneno ya hekima na busara yaliyosemwa na Mwanajeshi wa Kichina, Sun Tzu yasemayo, '' If you know neither the enemy nor yourself, you will succumb in every battle''.
Wazee wetu pia walituasa wakisema, ''Akili za kuambiwa, changanya na za kwako''! Hii ina maana sikiliza na uchambue kwa makini na kutafakari ulichokisikiliza kabla hujafanya maamuzi!
Kwa sasa aliyebaki anahangaika ni yeye na familia yake huku waliokuwa wanamsifia na kumshangilia wakiendelea na burudani zingine za siasa! Waliokuwa wanamsifia na kumshangilia hawaonekani hata mahakamani ili kuendeleza sifa na shangwe!
Siasa za nchi hii zina wenyewe na kama unataka kuzifanya siasa kama burudani lazima kwanza ujue kikomo chake!
Methali inayosema, '' wajinga ndio waliwao'' haikuandikwa kama burudani!
cc: Zitto Kabwe, Maalim Seif, Tundu Lissu, Godbless Lema, Fatma Karume, Maria Sarungi, Wasanii wote wa Siasa/Wanaharakati maviSiasa za nchi hii ukizivamia bila kujua vizuri historia yake lazima zitakupeleka sehemu ambayo ulidhani haiwezekani!
Wanasiasa wanaozijua vizuri siasa za nchi hii kwa sasa wako na familia zao huku wale ambao walizivamia bila kuzijua kwa sasa wako sehemu ambayo hawakutegemea!
Anayejiita ''Mdude Chadema'' ni moja ya watu waliozivamia siasa nchini bila kuwa na ufahamu mpana!
Shangwe na sifa alizokuwa anazipata kwenye mitandao ya kijamii zilimpa sense of invincibility fable! Akadhani ni zaidi hata ya wale wanaomsifia na kumshangilia!
Anayejiita ''Mdude Chadema'' hakujua wanaomsifia na kumshangilia wanamuona kama mtoa burudani kwa sababu baadhi ya watanzania wanazichukulia siasa kama burudani!
''Sense of invincibility fable'' ilimfanya azidishe burudani zake ambazo kiuhalisia hazikuwa na mwelekeo!
Baada ya ''kuguswa'' na wenye siasa, kwa sasa waliokuwa wanampa sifa na kumshangilia hawaonekani tena! Wamehamia kwa watu wengine ambao matendo yao ya kisiasa pia ni kama watoa burudani!
Nadhani anayejiita ''Mdude Chadema'' hakuwahi kuyasoma maneno ya hekima na busara yaliyosemwa na Mwanajeshi wa Kichina, Sun Tzu yasemayo, '' If you know neither the enemy nor yourself, you will succumb in every battle''.
Wazee wetu pia walituasa wakisema, ''Akili za kuambiwa, changanya na za kwako''! Hii ina maana sikiliza na uchambue kwa makini na kutafakari ulichokisikiliza kabla hujafanya maamuzi!
Kwa sasa aliyebaki anahangaika ni yeye na familia yake huku waliokuwa wanamsifia na kumshangilia wakiendelea na burudani zingine za siasa! Waliokuwa wanamsifia na kumshangilia hawaonekani hata mahakamani ili kuendeleza sifa na shangwe!
Siasa za nchi hii zina wenyewe na kama unataka kuzifanya siasa kama burudani lazima kwanza ujue kikomo chake!
Methali inayosema, '' wajinga ndio waliwao'' haikuandikwa kama burudani!