MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,172
- 23,974
- Thread starter
- #161
Nadhani anajua maana ya maneno yanayosema "wajinga ndio waliwao"Yeye mwenyewe ushindi wa mdude hatutaki ndiomana kajificha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani anajua maana ya maneno yanayosema "wajinga ndio waliwao"Yeye mwenyewe ushindi wa mdude hatutaki ndiomana kajificha
Kama nilivyosema, alizivamia siasa bila kujua kikomo chake!Alikuwaga anadhani ni sifa kutukana Wakubwa ni sifa anahangaika pekeyake sasa wenzie aamekosa hata ubunge naniahangaike naetena anajutakuijuwa chadema
Kama nilivyosema, alizivamia siasa bila kujua kikomo chake!
Walio forge kura kupata madaraka ndiyo wazima kichwani.Yeyote anaeishabikia kijisaccos huwaga sio mzima kichwani najua huwezi kubisha
Waweza shangilia na kumcheka aliyeko jela huku ukiamini wewe utakuwa huru milele.
Vema kukumbuka "hakuna aijuae kesho yake..." màana si wote walioko jela ni wahalifu.
Huyo ni mdude ni mhalifu na amevuna alichokipanda
Mtu mwenye akili timamu alitakiwa ajue mipaka yake!😂😂😂😂wamemsalitiii
Usihangaike sana na watu wasiojua historia na siasa za kimataifa!Mandela aliendelea kuwa Icon ya ANC
Je leo CDM wanamzungumzia Mdude?
Huyo anavuna alichopanda!Anaonewa vipi kwa matusi aliyokuwa anawatukana wote wasio kubaliana nae kisiasa?
Soma Historia ya Nelson Mandela na harakati zake dhidi ya ubaguzi wa rangi Afrika Kusini.