Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,941
- 4,315
Tunaongelea siasa za nchi yetu. Hayo ya Afrika kusini hayatuhusu. Siasa zetu ni za burudani kama za Yanga vs Simba.Soma Historia ya Nelson Mandela na harakati zake dhidi ya ubaguzi wa rangi Afrika Kusini.