Waliohamia CCM hiki ndicho kitawapata!

Waliohamia CCM hiki ndicho kitawapata!

Iko hivii wanashawishiwa kuhamia upande wa pili bila kupewa chochote lakin wanarudishiwa ubunge au udiwan wao wakiwa upande walipohamia.
Ikitokea mbunge au diwan akatangaza kuunga juhud kwa kuhama chama bila kurudishiwa ubunge wake au udiwan huyo kweli anakuwa kapewa chake mapema

Tatizo liko pale miaka iliyobaki ikimalizika hawatapitishwa tena na chama na kwakuwa wamejipeleka kwa kujikosha sana lazima jasho liwatoke.
Hiii nimeipata kwa viongozi na wahusika wakuu wa hii kazi ya kuwarubun wabab wawatu


Mkuu umeongea jambo
 
Habari wakuu!

Nikiwa miongoni mwa watu tulioshikwa na sintofahamu ya kile kinachoendelea hapa chini. Kitendo cha baadhi ya wenyeviti, madiwani na wabunge kutoka Vyama vya Upinzani kuhamia Chama tawaka cha CCM. Jambo hili limeleta maswali mengi sana vichwani mwa watu wakiwemo wanazuoni, wanasiasa na hata watu wakawaida.

Wapo baadhi husema kuwa hama hama hii ni matokeo ya Rushwa na hongo itolewayo na Chama Tawala. Wengine hudai jambo hili ni kutokana na utendaji uliotukuka wa Mheshimiwa Rais Magufuli. Binafsi ninavyoona ni ule woga wa viongozi wao katika jitihada za kutetea matumbo yao.

Nikirudi kwenye mada. CCM si wajinga mpaka waendeshe operesheni hii ya kuhamasisha wapinzani wahamie chama chao. Wanaohama ndio wajinga tena wapuuzi wasiofikiria vyema. Kama wahamiaji hawa wangekuwa na akili wasingethubutu kuhama kutoka vyama vyao. Mimi kama ningeambiwa niwape jina gani ningesema jina moja tuu nalo ni "Mambumbumbu".

Si kama nawatukana bali ndio uhalisia. Mtu mbumbumbu hafikirishi akili yake kufikiria kesho yake.
Huamua bila kufikiri na huendeshwa kwa mihemuko na hisia. Ni rahisi kumrubuni mtu mbumbumbu kwani hafikirii mara mbili.

Hiki ndicho kitakachowapata:
1.
Hawatapita katika kura za maoni ifikapo 2020.
Amini Amini nawaambieni ninao uhakika kuwa hawa mambumbumbu wataambulia patupu ifkapo 2020. Chama cha CCM katika kura za maoni kwenye ngazi ya kata na jimbo hawatapitisha tena hawa watu. Kwanza hawatakuwa na mtandao lakini kilichofanyika ni kuwarubuni wababa wa watu kwa upumbavu wao na ukosefu wa maarifa. Nauhakika Wanachama wa CCM katika chaguzi hizi wameambiwa wawapigie tuu kura ili wamalize miaka yao miwili iliyobaki alafu ikifika 2020 wamwagwe kama takataka. Hivi unawezaje kutema big G kwa karanga za kuonjeshwa kama sio umbumbumbu?

Ingekuwa busara wao wamalize miaka yao miwili hii iliyobaki wakiendelea kujijenga kisiasa na kwa wapiga kura wao. Lakini sitakuja kuamini kuwa CCM itawapitisha tena hawa viumbe.

Ninauhakika 100% hili halitatokea. Na hapa ndipo watakapojutia umbumbumbu wao. Hivi hawaijui CCM nini?

Nawasilisha
Mfano mmoja aliyewahi kuwa makamu m/kiti wa chadema taifa alilubuniwa 2015kwenye uchaguzi akahamia ccm matokeo yake amepotea kabisa nadhani huko aliko anatamani kuwa makamu m/kiti wa chadema dhambi ya usaliti mbaya sana.
 
Mfano mmoja aliyewahi kuwa makamu m/kiti wa chadema taifa alilubuniwa 2015kwenye uchaguzi akahamia ccm matokeo yake amepotea kabisa nadhani huko aliko anatamani kuwa makamu m/kiti wa chadema dhambi ya usaliti mbaya sana.


Cheza na vitu vingine usicheze na CCM
 
Ulivonza na "1" nkajua una flow hio moja nzuri, niache menu hapa nisome, 😀😀

Haya bhana lakini tukumbuke kosa halipo kwa wanasisasa wowote
 
Ulivonza na "1" nkajua una flow hio moja nzuri, niache menu hapa nisome, 😀😀

Haya bhana lakini tukumbuke kosa halipo kwa wanasisasa wowote


Ukajua zipo nondo nyingine zinakuja? 😀😀😀 Mimi mwenyewe nilijishtukia sema nikaamua kuacha tuu
 
Ningepewa fimbo na kupewa ruhusa ni watu gani niwachalaze viboko ... wala nisingefikiri sana ... ni hawa wahamiaji wa vyama vya siasa ili hali ni viongozi tayari
Ukoloni mamboleo sio lazima utoke nchi za kibepari tokea ughaibuni bali vyama vyetu vya kisiasa tulivyoanzisha sisi wenyewe.
 
Amini Amini nawaambieni ninao uhakika kuwa hawa mambumbumbu wataambulia patupu ifkapo 2020. Chama cha CCM katika kura za maoni kwenye ngazi ya kata na jimbo hawatapitisha tena hawa watu. Kwanza hawatakuwa na mtandao lakini kilichofanyika ni kuwarubuni wababa wa watu kwa upumbavu wao na ukosefu wa maarifa. Nauhakika Wanachama wa CCM katika chaguzi hizi wameambiwa wawapigie tuu kura ili wamalize miaka yao miwili iliyobaki alafu ikifika 2020 wamwagwe kama takataka. Hivi unawezaje kutema big G kwa karanga za kuonjeshwa kama sio umbumbumbu?
Mkuu katika siku uliyosema kweli leo ni katika hizo siku. Sina hakika kama wenyewe wapo.
 
Peleka uwongo wako huko!
Hujui unalo ongea nyumbu kuu walahi!
A0F0E2BC-9B17-4EB1-B6F3-E7513300234B.jpeg
 
Habari wakuu!

Nikiwa miongoni mwa watu tulioshikwa na sintofahamu ya kile kinachoendelea hapa chini. Kitendo cha baadhi ya wenyeviti, madiwani na wabunge kutoka Vyama vya Upinzani kuhamia Chama tawaka cha CCM. Jambo hili limeleta maswali mengi sana vichwani mwa watu wakiwemo wanazuoni, wanasiasa na hata watu wakawaida.

Wapo baadhi husema kuwa hama hama hii ni matokeo ya Rushwa na hongo itolewayo na Chama Tawala. Wengine hudai jambo hili ni kutokana na utendaji uliotukuka wa Mheshimiwa Rais Magufuli. Binafsi ninavyoona ni ule woga wa viongozi wao katika jitihada za kutetea matumbo yao.

Nikirudi kwenye mada. CCM si wajinga mpaka waendeshe operesheni hii ya kuhamasisha wapinzani wahamie chama chao. Wanaohama ndio wajinga tena wapuuzi wasiofikiria vyema. Kama wahamiaji hawa wangekuwa na akili wasingethubutu kuhama kutoka vyama vyao. Mimi kama ningeambiwa niwape jina gani ningesema jina moja tuu nalo ni "Mambumbumbu".

Si kama nawatukana bali ndio uhalisia. Mtu mbumbumbu hafikirishi akili yake kufikiria kesho yake.
Huamua bila kufikiri na huendeshwa kwa mihemuko na hisia. Ni rahisi kumrubuni mtu mbumbumbu kwani hafikirii mara mbili.

Hiki ndicho kitakachowapata:
1.
Hawatapita katika kura za maoni ifikapo 2020.
Amini Amini nawaambieni ninao uhakika kuwa hawa mambumbumbu wataambulia patupu ifkapo 2020. Chama cha CCM katika kura za maoni kwenye ngazi ya kata na jimbo hawatapitisha tena hawa watu. Kwanza hawatakuwa na mtandao lakini kilichofanyika ni kuwarubuni wababa wa watu kwa upumbavu wao na ukosefu wa maarifa. Nauhakika Wanachama wa CCM katika chaguzi hizi wameambiwa wawapigie tuu kura ili wamalize miaka yao miwili iliyobaki alafu ikifika 2020 wamwagwe kama takataka. Hivi unawezaje kutema big G kwa karanga za kuonjeshwa kama sio umbumbumbu?

Ingekuwa busara wao wamalize miaka yao miwili hii iliyobaki wakiendelea kujijenga kisiasa na kwa wapiga kura wao. Lakini sitakuja kuamini kuwa CCM itawapitisha tena hawa viumbe.

Ninauhakika 100% hili halitatokea. Na hapa ndipo watakapojutia umbumbumbu wao. Hivi hawaijui CCM nini?

Nawasilisha
Jakajeusi: hili bandiko lako niliishaliona na kulisemea. Hakika Tena kwa asilimia zote hawatapata nafasi Wala kupitishwa na hapo ndipo itakuwa mwisho wao katka safari ya siasa.

Two years remain to general election 2020.
 
Jakajeusi: hili bandiko lako niliishaliona na kulisemea. Hakika Tena kwa asilimia zote hawatapata nafasi Wala kupitishwa na hapo ndipo itakuwa mwisho wao katka safari ya siasa.

Two years remain to general election 2020.


Shukrani Mkuu. Unawashauri nini waliobaki?
 
Watapata tabu sana wameamua kuacha mbachao kwa msaala upitao
 
Shukrani Mkuu. Unawashauri nini waliobaki?
Waachane na fikra za kuhama vyama vyao. Wabaki huko huko waje wanyolewe huko huko haitakuwa na athari kubwa Sana kuliko kuenguliwa kwenye kura za maoni.
 
pia idadi ya wapiga kura itapungua sana ukilinganisha na ile ya 2015, sidhani hata kama watafika 3m, mimi sipigi kura za kijinga kama ccm wanavyotaka
 
Hawa hawana tofauti na fisi, fisi umnyemelea binadamu anapotembea akidhani ya kwamba kwa mwendo wa binadam na mwendo wa kuchezesha mikono, basi huenda mikono hiyo itachomoka na kudondoka hivyo yu karibia atapata kitoweo!
 
Back
Top Bottom