Waliohamia CCM hiki ndicho kitawapata!

Waliohamia CCM hiki ndicho kitawapata!

Utaratibu wa kura za maoni CCM umebadilishwa kumbuka hilo..majina yote ya wanaoomba kukiwakilisha chama kwenye uchaguzi kabla ya kura ya maoni kamati kuu itapitisha majina 2 au 3 tu kwa ajili ya kupigiwa kura ya maoni..hilo unalosema linaweza lisitokee.


Wakati utaongea
 
Back
Top Bottom