Waliohamia CCM hiki ndicho kitawapata!

Waliohamia CCM hiki ndicho kitawapata!

Hivi hata msomi wa shahada anashindwa kuelewa mambo madogo kama haya. Waitara bhana.
njaa ni mbaya hasa ikihamia kichwani, huyo jamaa ni bure kabisa.
jambo lingine baya kwa Watanzania ni kuhangaikia leo, ule leo, upate heshima leo na sio kesho.
 
njaa ni mbaya hasa ikihamia kichwani, huyo jamaa ni bure kabisa.
jambo lingine baya kwa Watanzania ni kuhangaikia leo, ule leo, upate heshima leo na sio kesho.

Sasa hiyo miaka miwili iliyobakia si analipwa tuu mshahara wa ubunge
 
Kinachosikitisha wengi ni wanaume. Wanawake wapo thabiti
Kwa kutumia polisi na tume watakuwa na uhakika wa kushinda. kitakachoendelea kwasasa ni kupeleka pesa za maendeleo Kinafki ili kuwarubuni wadanganyika. kwenye kura za maoni Hawa mbululazi lazima wamwagwe Kama toilet karatasi kazi Itakuwa imekwisha. wafia chama ndio Itakuwa fursa yao. Usione wako kimya, kimya kingi kina mshindo mkuu. Itakuwa kilio na kusaga meno kwa mbululaz.
 
Sasa hiyo miaka miwili iliyobakia si analipwa tuu mshahara wa ubunge
hayo ni maono ya kuku, watu wenye akili ya mwewe wanafikiria miaka kumi ijayo, kiwango cha chini ni miaka 5.
hawa watu ndio wamepotea kisiasa mazima
 
Ukiwaita "Mambumbumbu" utakuwa umewapendelea, hao yafaa waitwe "Misukule".....ndio wamejimaliza wenyewe kisiasa hivyo
 
Kwa kutumia polisi na tume watakuwa na uhakika wa kushinda. kitakachoendelea kwasasa ni kupeleka pesa za maendeleo Kinafki ili kuwarubuni wadanganyika. kwenye kura za maoni Hawa mbululazi lazima wamwagwe Kama toilet karatasi kazi Itakuwa imekwisha. wafia chama ndio Itakuwa fursa yao. Usione wako kimya, kimya kingi kina mshindo mkuu. Itakuwa kilio na kusaga meno kwa mbululaz.


Sio ndio maana naona kama hawajapiga hesabu vizuri
 
Natabiri walio hamia CCM toka vyama vya upinzani hawatapata tena ubunge 2020 watakuwa makapi ''rejects'' hii nimegundua ni namna nzuri ya kudhoofisha upinza unawavuta halafu unawapiga teke kulee! kwasababu watajulikana km hawana misimamo yaani ''Wasaliti'' Wataundiwa zengwe
 
Mku kwenye fedha ni wachache wanaopendaga kushauriwa na ukiaangali hili jambo linafanyika ktk kificho kwani ni jambo aibu kwa mtu mzima kukubali kuingizwa kwenye hii fedheha


Aiseee!!
 
Natabiri walio hamia CCM hawatapata tena ubunge 2020 watakuwa makapi ''rejects'' hii nimegundua ni namna nzuri ya kudhoofisha upinza unawavuta halafu unawapiga teke kulee! kwasababu watajulikana km hawana misimamo yaani ''Wasaliti'' Wataundiwa zengwe


Alafu uwezo wao wa kutengeneza kambi pia ni mdogo, kitu ambacho hata wakisema waunde chama kingine hawataambulia kitu
 
Na waliohamia CCM kwenda CHADEMA akina Sumaye et al nao nini kitawapata?


Huwezi fananisha CCM na Vyama vya Upinzani. CCM wa mtaji mkubwa wa watu wenye weledi katika siasa. Embu muondoe Mbowe, Lisu, Zito je kuna mwingine mwenye athari
 
Hata wao wanajua hawatapitishwa maana kama wamewasaliti wenzao kwa pesa ni rahisi kusaliti tena kwa pesa
 
Iko hivii wanashawishiwa kuhamia upande wa pili bila kupewa chochote lakin wanarudishiwa ubunge au udiwan wao wakiwa upande walipohamia.
Ikitokea mbunge au diwan akatangaza kuunga juhud kwa kuhama chama bila kurudishiwa ubunge wake au udiwan huyo kweli anakuwa kapewa chake mapema

Tatizo liko pale miaka iliyobaki ikimalizika hawatapitishwa tena na chama na kwakuwa wamejipeleka kwa kujikosha sana lazima jasho liwatoke.
Hiii nimeipata kwa viongozi na wahusika wakuu wa hii kazi ya kuwarubun wabab wawatu
 
Back
Top Bottom