Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,249
Wakifeli tena?
Hii ni sawa na kuchota maji baharini na kuyamwagia kwa Mto.
Tatizo la kuferi sio suala la leo wala jana hawa watu hawana msingi toka form darasa la kwanza kwenye the so called shule za kata.
Nina wasi wasi next year NECTA watapewa target ya kuwa mkirudia matokeo kama ya mwaka jana wote mtajiuzuru
Maana ndo namna hii serikali inavyofanya kazi
Hii ni sawa na kuchota maji baharini na kuyamwagia kwa Mto.
Tatizo la kuferi sio suala la leo wala jana hawa watu hawana msingi toka form darasa la kwanza kwenye the so called shule za kata.
Nina wasi wasi next year NECTA watapewa target ya kuwa mkirudia matokeo kama ya mwaka jana wote mtajiuzuru
Maana ndo namna hii serikali inavyofanya kazi