idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,300
- 38,450
Na wezi wa kuku, simu...wanaheshimika?
Hao sio wezi hao ni vibaka.!
Na wezi wa kuku, simu...wanaheshimika?
Wametaja majina wahindi wahindi ambao washatajwa bungeni na lawyer wa muhindi, mke wa kigogo wanamuogopa.
....aliyefahamika kwa jina la Rajiv Bharat Bhesania,
....mmiliki wa kampuni ya Pan African Power (PAP), Harbinder Seth Singh.
....ni Mwanasheria wa PAP, Joseph Makandege,
....inabidi wambane huyuhuyu Rajiv Bhesania.
Chanzo: Raia Mwema
Tatizo si magezeti ya kibongo, ila tatizo ni mfumo wa kulindana na katiba ya sasa inayolinda watawala wasinyoshewe kidolge kwa lolote, Mtajwa mmojawapo kama ni mke wa Kigogo wa Juu pale Ikulu ujue analindwa na katiba ya sasa hivyo vigumu kwa mazingira ya kibongo kumwanika hadharani. Ingwa jina laeleweka maana vigogo wa Juu wanaoishi Ikulu si idadi ya kuhesabu bali ni familia moja, vinginevyo wengingine wanaingia kikazi na kutoka si makazi yao na wengine ni watumishi tu.
Hana unakika na anchokisema, anaofopa kuburutwa mahakamani kwa kukosa ushahidiTatizo si magezeti ya kibongo, ila tatizo ni mfumo wa kulindana na katiba ya sasa inayolinda watawala wasinyoshewe kidolge kwa lolote, Mtajwa mmojawapo kama ni mke wa Kigogo wa Juu pale Ikulu ujue analindwa na katiba ya sasa hivyo vigumu kwa mazingira ya kibongo kumwanika hadharani. Ingwa jina laeleweka maana vigogo wa Juu wanaoishi Ikulu si idadi ya kuhesabu bali ni familia moja, vinginevyo wengingine wanaingia kikazi na kutoka si makazi yao na wengine ni watumishi tu.
Apa wamejaa ma GT watupu wenye shule zao,nafas zao ivi kwel tumeshindwa kupata majina ya kule stabic jamani msitufanyie ivo JF imekua chanzo ki kubwa sana cha habari hd ikulu wanachukuaga apa
tuwasaidieni kuwapa majina ya kule kwenye Bill 70 na kule holland
cc pasco and others
Kama hao wabunge wameshindwa kuziweka hadharani, nani mwingine afanye kazi hiyo?
Hata mimi najiuliza kwa nini wakina Zitto na Kafulila hawawataji hawa watu waliozoa pesa stanbic wakati wanawafahamu.Wawalipue tu tuwajue wasisite kuwataja hawa mafisadi nyangumi.
Mkuu,
Wewe unayeifahamu Katiba ya nchi. Hebu nitajie kifungu cha kwenye Katiba kinachomlinda huyo kigogo wa juu pale Ikulu.
Kwa hiyo Raia Mwema inamlinda huyo kigogo wa juu pale Ikulu?
Tuacheni kufanya utani kwenye masuala ambayo ni serious?