Waliochaguliwa SUA hapa!

Dah?wanasua niwatakie masomo mema bt nilikuwa nataka kusoma sua lkn mungu hajapenda,nimepata IFM so kila laheri jamani.
 
Ucjal kaka nenda kaxome ulipopangwa as lng ur comited utafanikiwa..
 
Nlivokua nasikia msuli wa sua noma nlijua masihara ila sasa nimeanza kupata picha wana sua wenzangu ingia Welcome to Sokoine University of Agriculture (SUA) kwenye admission and examination requirements ujionee mwenyewe,na wale wenzangu wa BVM sisi ndo tunakazi ngumu kuliko kila kitu except bvm chekini na nyie mpate picha ya huo mziki ila nlichofurahi degree ya BVM haina grade/class!
 
Nlivokua nasikia msuli wa sua noma nlijua masihara ila sasa nimeanza kupata picha wana sua wenzangu ingia Welcome to Sokoine University of Agriculture (SUA) kwenye admission and examination requirements ujionee mwenyewe,na wale wenzangu wa BVM sisi ndo tunakazi ngumu kuliko kila kitu except bvm chekini na nyie mpate picha ya huo mziki ila nlichofurahi degree ya BVM haina grade/class!

hahahahah kaka' kwa msuli nitakaoenda nao mbona BVM itanyanyua mikono !! Cha msingi Mungu atutangulie tu
 
Back
Top Bottom