Best Mzava
Senior Member
- Jul 20, 2012
- 135
- 10
Dah?wanasua niwatakie masomo mema bt nilikuwa nataka kusoma sua lkn mungu hajapenda,nimepata IFM so kila laheri jamani.
Orientation week inaanza tar 8 october
Pitia almanac kwenye web ya sua uone kalenda nzima!
naitwa beltomaiko tutakua ote kweny bch.scns in agrbsnes
Dah?wanasua niwatakie masomo mema bt nilikuwa nataka kusoma sua lkn mungu hajapenda,nimepata IFM so kila laheri jamani.
Nlivokua nasikia msuli wa sua noma nlijua masihara ila sasa nimeanza kupata picha wana sua wenzangu ingia Welcome to Sokoine University of Agriculture (SUA) kwenye admission and examination requirements ujionee mwenyewe,na wale wenzangu wa BVM sisi ndo tunakazi ngumu kuliko kila kitu except bvm chekini na nyie mpate picha ya huo mziki ila nlichofurahi degree ya BVM haina grade/class!
naitwa RadioActive niko Agronomy!!!halaa kwa wana SUA!!
Awadh Mabaraza 2taktana rectr room.. Note hlo jina ts real..
Hostel zao ni mpya halafu ni tamu mbaya.!
mzux kwa sana !! Afu first year tunaingia pande hizo lini?
mtaingia tarehe 01/10/2012..mtanikuta
Mh,naona vijana mpo happy ile mbaya,nawashauri mcheki na wenyeji mpate A,B,C za masomo ili mjiandae vema
Pamoja,wild life and management
sawa mkuu !! Tutakutafuta afu naona mko serious kwenye suala zima la pindi
mtaingia tarehe 01/10/2012..mtanikuta