Waliochaguliwa SUA hapa!

naitwa ze duduz tutakutana kwenye bachelor of verterinary medicene !!


Hongera sana dogo,lakini hiyo kozi si lelemama inatakiwa ukomae,pale kuna miprofesa haitaki mizaha kabisa.Nilisoma SUA pia lakini si kozi hiyo lakini nilikuwa naona vijana wanavyohangaika.Lakini uzuri wake wakimaliza chuo huwa hawakai mtaani wana ajira za wazi tena zisizo na competition. Hongera sana!!
 
Dah LORDVILLE ukasome kaka, habari za ajabuajabu tusizikie hapa mara, sapp mara umedisco mara umerudishwa home, kitabu kwa kwenda mbele. Big up kaka ha ha ha hah.
mkuu sina la kusema zaid ya...NITAJITAHIDI KADRI NIWEZAVYO,,NAIMAN MUNGU HATONIACHA!!!! pamoja sana....
 
Hongera sana dogo,lakini hiyo kozi si lelemama inatakiwa ukomae,pale kuna miprofesa haitaki mizaha kabisa.Nilisoma SUA pia lakini si kozi hiyo lakini nilikuwa naona vijana wanavyohangaika.Lakini uzuri wake wakimaliza chuo huwa hawakai mtaani wana ajira za wazi tena zisizo na competition. Hongera sana!!

thanks sana mkuu !! Ushauri wako nitaufanyia kazii !!
 
Back
Top Bottom