georgei
Senior Member
- Oct 14, 2009
- 110
- 8
wale mliochaguliwa SUA tufahamiane hapa! Karibu
ole wenu mkafanye UFUSKA chuoni msahau mlichotumwa kutoka sitimbi
wale mliochaguliwa SUA tufahamiane hapa! Karibu
poa poa mkaka!!! nawe pia ila hope tutamit huko sua.....congratulatn bro !! Pamoja sana
taratibu kaka..kindly open your account thn nenda kwenye my profile...utajua..jaribu afu tuambiane!!!Yanapatikana wapi wazeiya?
naitwa ze duduz tutakutana kwenye bachelor of verterinary medicene !!
mkuu sina la kusema zaid ya...NITAJITAHIDI KADRI NIWEZAVYO,,NAIMAN MUNGU HATONIACHA!!!! pamoja sana....Dah LORDVILLE ukasome kaka, habari za ajabuajabu tusizikie hapa mara, sapp mara umedisco mara umerudishwa home, kitabu kwa kwenda mbele. Big up kaka ha ha ha hah.
ushaona eeeeehh!!! Yan hapa ni full maraha....naona wasuaso mna umoja sana!
Hongera sana dogo,lakini hiyo kozi si lelemama inatakiwa ukomae,pale kuna miprofesa haitaki mizaha kabisa.Nilisoma SUA pia lakini si kozi hiyo lakini nilikuwa naona vijana wanavyohangaika.Lakini uzuri wake wakimaliza chuo huwa hawakai mtaani wana ajira za wazi tena zisizo na competition. Hongera sana!!
Naona wasuaso mna umoja sana!
poa poa mkaka!!! nawe pia ila hope tutamit huko sua.....
Shadowalker, Agriculture general
kusoma lazima tukasome hakuna anayeenda kulala huko!
wajomba mbona mimi sioni k2 kwa hawa waliochaguliwa SUA?