Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,735
- 30,013
Nyerere ana kosa ametutendea. Ameulea na kuusimika mfumo kandamizi na chama jambazi kwa Watanzania.Leo kina shivji wanamsifu mwl wanamponda Jakaya, nani muasisi nani muishi
Mimi namupna kama mtu aliyeidhibiti Tanzania na siyo kusimika taasisi zinazowajibika kwa nchi kwa maana ya ustawi, hadhi na utashi wa Taifa