Hali ya mazingira ya kukatisha tamaa kwa watanzania kutokana na serikali kutojali maisha ya watumishi wa umma na wananchi, nabadili mawazo na kuwa waliobahatika kuwa huko majuu na kupata nafasi ya kupiga box waliona mbali kuliko tulioamua kurudi kwani tumepoteza hata mafao tuliopigia box. Inakatisha tamaa mambo yasiyvyoleta matumaini na kwa kuwa sikutupa jongoo na mti wake naamua kuridi kupiga box ughaibuni pamoja na kwamba nako maisha magumu yanawafungua macho wazungu waliozoea kutupa hifadhi katika nchi zao.
Nimejitahidi kuishawishi serikali katika mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na kutaka kuchukua maeneo ya wazi kimkataba ambayo yalitengwa kwa ajili ya michezo na burudani mbalimbali ili niyaendeleze kwa malengo yayo hayo kuwa viwanja vizuri vya michezo na bustani za mapumziko, nimeishiwa kutishiwa mambo ambayo sikutegemea. Kitu kama hicho ndicho kinachofanyika katika nchi nilikokuwa napiga box na mtu anayejitolea kufanya hivyo anaonekana yupo kwenye chanda cha dhahabu ndani ya kisahani lakini bongo unaonekana usiyefaa na wa kutaka kujineemesha wakati sitahitaji pesa toka serikalini na maeneo hayo yanazidi kutia aibu kila kukicha. Kuna mengi ila sipendi kuyatapika hapa.
Nimejitahidi kuishawishi serikali katika mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na kutaka kuchukua maeneo ya wazi kimkataba ambayo yalitengwa kwa ajili ya michezo na burudani mbalimbali ili niyaendeleze kwa malengo yayo hayo kuwa viwanja vizuri vya michezo na bustani za mapumziko, nimeishiwa kutishiwa mambo ambayo sikutegemea. Kitu kama hicho ndicho kinachofanyika katika nchi nilikokuwa napiga box na mtu anayejitolea kufanya hivyo anaonekana yupo kwenye chanda cha dhahabu ndani ya kisahani lakini bongo unaonekana usiyefaa na wa kutaka kujineemesha wakati sitahitaji pesa toka serikalini na maeneo hayo yanazidi kutia aibu kila kukicha. Kuna mengi ila sipendi kuyatapika hapa.