Kwa kweli umesema kila kitu! mara nyingi hata hili ulilozungumza hapa la kujisikia guilty pale watu wanapokuuliza iwapo rahisi wa nchi yako amesoma kidogo economics au " what is his profession" watz waliowengi ambao ndo hawajatoka nje hawatakaa walione kamwe! mtu anaweza kuku embarass kwa vitu ambavyo ukiwa bongo unaona ni sawa tu kwa vile kila kitu tunasubiri waje wageni hata wakenya na waganda ndo wafanye kuliko sisi kuanzisha! bado ni safari ndefu na itaendelea kutudhalilishaPole sana ndugu. Nakuelewa sana unachomaanisha. Ila kwa bahati mbaya mtu ukshakuwa nje ya nchi unarudi na mtazamo na uelewa ambao kiukweli kama mtu hajawahi kufika hata hapo Kenya ni ngumu sana kuelewa. Kuna swala laku supply kulingana na demand ila pia kuna possibility zaku create demand ili uweze kusuply. Tz bado sana! Unajua mtu ukiwa hapo Tz unafurahia kusema mi mnyakyusa, mpare, mchaga n.k. Ila siku ukitoka nje ya Tz ndiyo unaelewa nikwajinsi gani utanzania unakuhusu na jinsi hali ya nchi inavyoweza kukufanya ukafeel guilty kama vile wewe ndiyo rais wa nchi. Still we have a long way to go for people to understand the meaning, value and worth of being Tanzanian