Waliobahatika Viwanja vya Geza Ulole

Waliobahatika Viwanja vya Geza Ulole

wakifuata taratibu na sheria ndio watapata? nakumbuka viwanja vya burka estate vilivyotangazwa 'A' town na watu mamia kwa mamia wakalipia form na kuzirudisha, kaulize nani kapata katika watu wote walioomba. sina uhakuka kama utawapata watu 5 wenyeji, labda wawe viongozi, sana sana utasikia viwanja vyote vimekwenda kwa hao hao wenye nchi.
kinachonishangaza ni kuwa, watazikwa na mali zote hizo, au wamepatwa tu na kichaa cha kujirundikia mali!
 
mkuu Ezan .... please usikate tamaa

mapori yapo mengi sana nchi hii ..... take your time and get a free land for yourself for the future as your asset

otherwise these hooligans will pump high your blood pressure

relax

haa si hapo badae watamwambia mvamizi na kumnyanganya kila kilichochake.there is no free land.
 
kwa hali jinsi ilivyo basi sisi walalahoi tutaendelea kujijengea na kununua viwanja visivyopimwa na kujisitiri na familia zetu kwa muda na ikifika siku matajiri wanataka sehemu hizo tutageuka kuwa kama ya madale. kwa kweli huuu ni ulafi viongozi wananunua viwanja kila kukicha na cha ajabu hawatosheki kila vikipimwa wapo. sisi wengine tutafanyaje?
 
Pale walikuwa wanakusanya hela za kuwalipa wapimaji ila viwanja vilishapangiwa watu loooongi!!!ndo maana wala sikujishughulisha
 
Back
Top Bottom