Waliobadilisha Maisha yangu....

Waliobadilisha Maisha yangu....

SnowBall

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2011
Posts
3,052
Reaction score
2,846
Najua MODS wanaweza kudhani hii ni Chit Chat..lakini naomba wasiipeleke huko kabisa kwa sababu hii ni KWELI kabisa...na members wenzangu nilikuwa naomba kwa moyo wa Kitanzania kila mtu atambue watu wake sita ambao kupitia THREADS au POSTS zao WAMEBADILISHA au WAMEONGEZA KITU katika ufahamu wake wa jinsi ya kukabiliana na MAHUSIANO au URAFIKI in 2012... Binafsi nashukuru baadhi ya watu kupitia PM au hapa Jamvini wamekiri kuridhishwa na SHAURI zangu....LAKINI mganga HAJIGANGI na mimi pia ninao watu sita ambao KIUKWELI wamenisaidia sana KUIMARISHA NDOA yangu...OMBI langu kupitia HUU UZI naomba kila mmoja awatambue watu wake SITA ambao KUPITIA SHAURI/POSTS/THREADS zao basi basi mambo yao yamebadilishwa na kama sio kuboreshwa kabisa....Wa kwangu Mie ni hawa:

1 Mtambuzi
2 gfsonwin
3 snowhite
4. The Boss
5. Dark City
6. Father of All

N:B Naomba tuwe Serious Jamani ili tuwaenzi wale waliotusaida..hii itasaidia watu kutoa mawaidha na kuacha utoto..
 
Jamani mdogo wangu lara 1 don't you have six guys who had inspired you based on their ushauri???..Ya Kaisari tumpe Kaisari na ya Mungu tumpe .....


Hizi sasa LAWAMA!!!!!!!!! Tena si nyepesi ni nzito! NIMTAJE NANI, NIMWACHE NANI? Huu mtihaniiiii! The Boss naona kila mtu anakutaja basi ngoja mi nikaushe! LOL!
 
Last edited by a moderator:
The Boss - tofauti ya wanamme na wavulana

EMT- michango yake kwa ujumla, iko deep sana

Kiranga- anavyochambua maisha kwa namna anayochambua, weird na interesting

Nyumba Kubwa- fikra zake tofauti na mbinu zake za kimafia za kumwadabisha mwanamme, i see, kabla sijamzoea nilikuwa nashangaa sana

Dark City- busara za wazee wa zamani, uhalisia wa dunia nayoielewa

Mtambuzi - mada zake za kichokozi hasa kwa akinamama

naweza kuendelea?

Ungenipa SITA wako ningeshukuru sana....
 
Hivyo vichwa ulivovitaja wala sina la kukubishia..yaani nikionaga wametia mguu kwenye thread najua iko kazi...hapo shukrani za pekee zimwendee Kiranga ..the guy is smart upstairs i guess...

The Boss - tofauti ya wanamme na wavulana

EMT- michango yake kwa ujumla, iko deep sana

Kiranga- anavyochambua maisha kwa namna anayochambua, weird na interesting

Nyumba Kubwa- fikra zake tofauti na mbinu zake za kimafia za kumwadabisha mwanamme, i see, kabla sijamzoea nilikuwa nashangaa sana

Dark City- busara za wazee wa zamani, uhalisia wa dunia nayoielewa

Mtambuzi - mada zake za kichokozi hasa kwa akinamama

naweza kuendelea?
 
Last edited by a moderator:
1. EMT
2. The boss
3. Nyumba Kubwa
4. gfsonwin
5. Mtambuzi ........Sijasahau mpaka leo story ya "alikuwa zaidi ya mama"

6. Mimi mwenyewe platozoom wakati mwingine najishangaa navyoandika AU Kucoment kupitia hii ID. Kupitia hii ID nimejifunza mengi sana........ nimeweza kuitumia kupata marafiki na pengine kushauriana na kukasirikiana na watu. Kifupi Mimi na Platozoom tunaishi nchi tofauti lakini tunakutana kwenye keyboard.
 
Last edited by a moderator:
Hivyo vichwa ulivovitaja wala sina la kukubishia..yaani nikionaga wametia mguu kwenye thread najua iko kazi...hapo shukrani za pekee zimwendee Kiranga ..the guy is smart upstairs i guess...

Humbled.

I hereby register my heartfelt appreciation and many thanks.

But I beg to respectfully shun these overly generous accolades, relatively speaking, as being just that.

As I was explaining to my high school class in the mid nineties, after delivering an impromptu presentation on cosmogony and the big bang theory (which flabbergasted not only the entire class, but also the social studies teach who found it more than he could chew) it's not so much that Kiranga is extra smart as it is that sometimes we abandon scholarship to the extent that even an average kid from a non-privileged background who managed to burrow through the boroughs in search of the appropriate public library would look stellar just because he is repeating the classics and reading the Newsweek-like rags at British Council and USIS.

To be human and sane - and sanity is debatable- is to be smart upstairs. The rest is mental gymnastics and brain conditioning, which some do more of than others.
 
I am speechless buddy...but you have been inspiring me when commenting on some issues...

Humbled.

I hereby register my heartfelt appreciation and many thanks.

But I beg to respectfully shun these overly generous accolades, relatively speaking, as being just that.

As I was explaining to my high school class in the mid nineties, after delivering an impromptu presentation on cosmogony and the big bang theory (which flabbergasted not only the entire class, but also the social studies teach who found it more than he could chew) it's not so much that Kiranga is extra smart as it is that sometimes we abandon scholarship to the extent that even an average kid from a non-privileged background who managed to burrow through the boroughs in search of the appropriate public library would look stellar just because he is repeating the classics and reading the Newsweek-like rags at British Council and USIS.

To be human and sane - and sanity is debatable- is to be smart upstairs. The rest is mental gymnastics and brain conditioning, which some do more of than others.
 
Bro Much respect kama na wewe mwenyewe umejikumbuka!!...

Kikubwa tutoe due respect kwa wale ambao wamesababisha mabadiliko kwenye maisha yetu....


1. EMT
2. The boss
3. Nyumba Kubwa
4. gfsonwin
5. Mtambuzi ........Sijasahau mpaka leo story ya "alikuwa zaidi ya mama"

6. Mimi mwenyewe platozoom wakati mwingine najishangaa navyoandika AU Kucoment kupitia hii ID. Kupitia hii ID nimejifunza mengi sana........ nimeweza kuitumia kupata marafiki na pengine kushauriana na kukasirikiana na watu. Kifupi Mimi na Platozoom tunaishi nchi tofauti lakini tunakutana kwenye keyboard.
 
Back
Top Bottom