Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
hi babies
yawezekana wewe ni mmoja wa walioathirika na usemi wa hapo juu
leo hii nimekuja kuwapa amani kwamba lipo kimbilio baada ya kuachika
yupo MUNGU anaeweza yupo MUNGU aliepo kwa ajili ya wenye uchungu
wote......na ndio maana kuna ambao baada ya kuachwa wanakuja kupata wandani wao wenye amani na furaha na hivyo kusahau machungu walioyapata huko nyuma....kama kuna mtu amefikira hata kujiua kwa ajili ya matatizo ya ndoa ndugu mshike mungu hatoangalia umbali uliokuwa nao kabla ya matatizo ataangalia jinsi gani unavyomwamini moyoni mwako kwamba yeye ni munga wa wajane,,,yatima na waliachwa...yawezekana hukuwa na kosa kabisa ila kutokana na ufahamu hukujua kwamba kuna dhambi ya laana ya kuachika huko kwenye familia yenu....anza kukemea na kukataa kabla mungu ajakuletea mtu sahihi katika maisha yako
Nawakutakia kila lakheri na maisha bora
yawezekana wewe ni mmoja wa walioathirika na usemi wa hapo juu
leo hii nimekuja kuwapa amani kwamba lipo kimbilio baada ya kuachika
yupo MUNGU anaeweza yupo MUNGU aliepo kwa ajili ya wenye uchungu
wote......na ndio maana kuna ambao baada ya kuachwa wanakuja kupata wandani wao wenye amani na furaha na hivyo kusahau machungu walioyapata huko nyuma....kama kuna mtu amefikira hata kujiua kwa ajili ya matatizo ya ndoa ndugu mshike mungu hatoangalia umbali uliokuwa nao kabla ya matatizo ataangalia jinsi gani unavyomwamini moyoni mwako kwamba yeye ni munga wa wajane,,,yatima na waliachwa...yawezekana hukuwa na kosa kabisa ila kutokana na ufahamu hukujua kwamba kuna dhambi ya laana ya kuachika huko kwenye familia yenu....anza kukemea na kukataa kabla mungu ajakuletea mtu sahihi katika maisha yako
Nawakutakia kila lakheri na maisha bora