Walio itwa na maxcom

Walio itwa na maxcom

Inosent

Member
Joined
Nov 19, 2012
Posts
18
Reaction score
1
naomba mnisaidie hawa watu wanoitwa maxcom afrika millenium tower wanahusika na nini
 
Mim nilifika ofc zako wiki jana,walisema wanadeal na kuuza machines mfano kihesabu pesa.
 
maxcom ni wakala wanao uza mashine zinazo uza umemem vocha za mitandao yote ,malipo ya television mpesa na huduma nyinginezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom