NDUGU ZETU WALIO TOKA SAUZI

NDUGU ZETU WALIO TOKA SAUZI

nzalendo

Platinum Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,951
Reaction score
14,771
Naam nina mashaka makubwa sana na hawa ndugu zetu walio toka sauzi.

Hasa wale ambao afya zao hazijaharibika sana kwa madawa ya kulevya,

Hofu yangu kubwa ni USALAMA WA RAIA na MALI ZAO,

Kuna namna kwa wingi wao wanaweza kufanya jambo lisilofaa ndani ya jamii.

Zingatia hawa ni Ma ''STOWAWAY''....kumtoa mtu uhai na kukimbilia kusiko julikana kwao ni jambo jepesi mno.

Wengi wao wanatembea na laana,,,kimsingi ni viumbe wasio saidika.

AU KUNA WATU WANAWEZA KUWATUMIA.................ni wazo tu la kiduanzi!!!!
 
Kumbe mlikuwa mnaishi kwa amani na utulivu ila hawa ndio wanaowatia hofu? Kumbe wale nwasiojulikana na wale panya road nao walitoka south
 
Nimesikitika sana kuona watu wanakuwa majaji sijui miungu mtu kwa maisha ya waliporudi ki hasi sanaaaa..

Badala ya kuwakaribisha na kuwapa ushauri chanya. Hata wao waone maisha yataendelea kwao hatua kwa hatua hapa nchini.

Tuwaombee na kuwatakia mema. Hakuna anayejua kesho yake ipoje.
 
Tajiri punguza uoga, hao ni ndugu zetu, wamepitia mengi huo sauzi na mwisho wamerudi nyumbani, tuwapokee tuishi nao hawawezi kutushinda.

Chizi anachekesha kama sio ndugu yako.
 
Watu wanakuja hawana meno unafikiri nini kitatokea, halafu sasa wale walioharibikiwa ndio wamekuja wengi Sana bongo, wale mambo Safi wamebaki huko huko, tumeletewa vibogoyo.
 
Naam nina mashaka makubwa sana na hawa ndugu zetu walio toka sauzi.

Hasa wale ambao afya zao hazijaharibika sana kwa madawa ya kulevya,

Hofu yangu kubwa ni USALAMA WA RAIA na MALI ZAO,

Kuna namna kwa wingi wao wanaweza kufanya jambo lisilofaa ndani ya jamii.

Zingatia hawa ni Ma ''STOWAWAY''....kumtoa mtu uhai na kukimbilia kusiko julikana kwao ni jambo jepesi mno.

Wengi wao wanatembea na laana,,,kimsingi ni viumbe wasio saidika.

AU KUNA WATU WANAWEZA KUWATUMIA.................ni wazo tu la kiduanzi!!!!
Kumbe ni ukweli hata wajinga wanazeeka, if i may ask wewe una mali gani?

Halafu unajuwa maana ya "Stow away"?
 
Wenzetu Uganda wamewafanyia Rehabilitation,wamewafanyia medical check up,kuwafundisha uzalendo,harafu wamewawezesha kiuchumi kwa kuwapa cha kuanzia maisha!
Ingependeza kama na sisi Tanzania tungewafanyia Rehebilitation maana walio wengi ukiangalia afya zao na yale wanayosema ni kama wala ngada au watu waliotoka gerezani.
 
Back
Top Bottom