uchumi2018
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,087
- 2,996
Ni mawazo tu tumetoa,isikuharibie siku.Ila .....Kwahiyo huo usalama wa rais umeuona wewe huko Rufiji ila PSU hawakuona?
Wabongo kwa ujuaji dah!
Ni mawazo tu tumetoa,isikuharibie siku.Ila .....Kwahiyo huo usalama wa rais umeuona wewe huko Rufiji ila PSU hawakuona?
Wabongo kwa ujuaji dah!
Kaka we mdogo kwenye hizi medani, Kuna ulinzi mkubwa saana hapo ambao we wakawaida huwez kuona.. kiufupi tu ukiangalia vizur hapo chini kwenye miguu yawachezaji Kuna kitu unaweza note baina ya rais na wachezaji wawili waliokaa kulia na kushoto kwake.. na waliosimama nyuma yake sema huwez kuona kwenye hii picha Kuna kitu nacho ungenote.. Kila tukio lililofanyika hapo limepangwa mwezi mmoja nyuma na Kila hatua unayoiona hapo usalama wake ni 99%Najiuliza waliwaamini vipi hao Raia tena wakigeni kupiga picha na Rais kama hivi?
Kwamba waliona yule Kanali angesimama hapo nyuma ya Mama kama ilivyo kawaida yake waliona atachafua hizo picha au?
View attachment 2710451View attachment 2710452
Ahsante kwa utabiri mzuri, neno lako liwe lenye kutimia tu. Karibu shule ya msingi Nainokwe!Itakuwa tu wewe ndo huyo waziri.
Tafadhali tujuze kidogo, kuna nini kati ya raisi na hao wachezaji wawili wa kulia na kushoto maana nimejitahidi kuangalia sioni chochote.Kaka we mdogo kwenye hizi medani, Kuna ulinzi mkubwa saana hapo ambao we wakawaida huwez kuona.. kiufupi tu ukiangalia vizur hapo chini kwenye miguu yawachezaji Kuna kitu unaweza note baina ya rais na wachezaji wawili waliokaa kulia na kushoto kwake.. na waliosimama nyuma yake sema huwez kuona kwenye hii picha Kuna kitu nacho ungenote.. Kila tukio lililofanyika hapo limepangwa mwezi mmoja nyuma na Kila hatua unayoiona hapo usalama wake ni 99%
Mtu mweusi huamin mwenye mamlaka hakosei na ndio maana wapo wanashabikia swala la mkataba kisa limesinamiwa na serikali , ila kiukwel serikali zetu zina madhaif mengi sana , ni jeshi hili limewashindwa panya road , kaz ambayo ilibid waingize watu mtaani kimya kimya tuish nao wajue na mhalif na nan sio mhalifu , ila wao walipoona pany road wametulia na wao wakatulia kisha wakaibuka tena , na sss hv hatujui wakiibuka wataibuka na silaha zip panga zile zile au hata bundukiUjuaji [emoji706]
Ujuaji [emoji706]
Ujuaji [emoji706]
Manina!
Angalia kifo cha mwamba ujue hatuna ulinz hapo , mama hana maadui wa nje ya mipakaAny way mtu Mwenyewe amejiita Piano man hizi sio level zake.Ulinzi ni uwanja Mpana sana aisee. Hapo hao wote walishachungunzwa tangu wanaingia nchini na mawasiliano yao.
Wasi wasi wako tu. Kila mda unawaza mabaya.Najiuliza waliwaamini vipi hao Raia tena wakigeni kupiga picha na Rais kama hivi?
Kwamba waliona yule Kanali angesimama hapo nyuma ya Mama kama ilivyo kawaida yake waliona atachafua hizo picha au?
View attachment 2710451View attachment 2710452
Hizo timu nyingine sio zao, simba na yanga ni zao na ni nyumbani kabisa wanajiendea makati wowote.HALAFU HUU UTARATIBU WA VIONGOZI WAKUBWA KUZIKUMBATIA SIMBA NA YANGA NI KUZIKOSEA HESHIMA TIMU ZINGINE
PIA INASABABISHA UDUNISHAJI KWA TIMU ZINGINE
Kuhujumiwa kwa Kiongozi kupo Dunia nzima na sehemu kubwa ni maarifa ya Wahalifu kuliko uimara wa mifumo ya ulinziTunawezasema yote,lakini tukumbe mzee mwinyi alipigwa kibao hapa hapa
kwa kudhani kwamba ni amani.hivyo,ukiona watu wanakosoa hata kama unadhani wanaokosoa hawana taaluma
angali mantiki lifanyie kazi maana hakuna hasara kufanya hivyo.
Simba na Yanga ni zaid ya Klabu za MpiraHALAFU HUU UTARATIBU WA VIONGOZI WAKUBWA KUZIKUMBATIA SIMBA NA YANGA NI KUZIKOSEA HESHIMA TIMU ZINGINE
PIA INASABABISHA UDUNISHAJI KWA TIMU ZINGINE
Tulia weweeAhsante kwa utabiri mzuri, neno lako liwe lenye kutimia tu. Karibu shule ya msingi Nainokwe!
SawaTulia wewee
Acha uongo wewe Mzee mwinyi alipigwa kibao hao wachawi walikuwa wapiUsalama wa taifa first oders ni kama wachawi yani ukifikiria kumgusa tu kabla hujatenda usha isha
Sio kweliSSH ndio anawaamuru hao usalama nini Cha kufanya na sio kwamba wao ndio wanamuongoza
Rais hana maamuzi juu ya ulinzi wake. AnapangiwaSSH ndio anawaamuru hao usalama nini Cha kufanya na sio kwamba wao ndio wanamuongoza
Anaweza Tekwa hata na Boda Boda akatoa masharti ya kipuuzi lazima yatimizwe ili awe HuruRais wetu hayuko kwenye matishio makubwa hata akiamua atembee kwa mguu Kariakoo hadi buguruni hakuna atakaemdhuru labda atukanwe tu njiani kwa kuuza BANDARI