Walinzi wa Rais hapa walifeli pakubwa sana

Walinzi wa Rais hapa walifeli pakubwa sana

Anaweza Tekwa hata na Boda Boda akatoa masharti ya kipuuzi lazima yatimizwe ili awe Huru
Rais ni lazima Alindwe tuachane na hizi fiction
Angalia nyuma kulia Kuna jamaa kavaa Jessy ya simba ina badge kubwa ya red huyo ni mlinzi yupo 2nd roll.
Punguza kuangalia movie .
 
Rais wetu hayuko kwenye matishio makubwa hata akiamua atembee kwa mguu Kariakoo hadi buguruni hakuna atakaemdhuru labda atukanwe tu njiani kwa kuuza BANDARI
Na Hilo ndio kero yangu kwake
 
Afisa Usalama ambae pia ni Afisa Usafirishaji kutoka kijiwe cha bodaboda huko Nanjilinji anatoa tathmini ya Ulinzi wa Rais siku ya Simba Day

Mchungaji Msigwa huwa namkumbuka sana kwa kauli yake moja …alisema hata uanzishe mada juu ya namna bora zaid ya kurutubisha vinu vya Nuclear vya Marekani ukikosoa namna wanavyorutubisha kwa sasa lazima watachangia tu kwa kujifanya wajuaji wa kila kitu
🤣🤣
 
U much know tu, unajiona mjuaji utadhani nawewe tajiri kama sisi
 
Kaka we mdogo kwenye hizi medani, Kuna ulinzi mkubwa saana hapo ambao we wakawaida huwez kuona.. kiufupi tu ukiangalia vizur hapo chini kwenye miguu yawachezaji Kuna kitu unaweza note baina ya rais na wachezaji wawili waliokaa kulia na kushoto kwake.. na waliosimama nyuma yake sema huwez kuona kwenye hii picha Kuna kitu nacho ungenote.. Kila tukio lililofanyika hapo limepangwa mwezi mmoja nyuma na Kila hatua unayoiona hapo usalama wake ni 99%
Sawasawa
 
Rais halindwi kama mhalifu!!!! Hulindwa kwa mbinu tofauti tofauti..
Ulinzi wake uko vizuri sana.
 
Rais huwa hana cha kuamua akiwa na walinzi wake anapangiwa atapiga picha na nani atasalimiana na nani na hao walishakaguliwa mpaka pumbu, kifupi tu kuna ka udhaif coz hapo mtu anaezampiga ngumi rais hadi akafa
Taasisi imejaa uvccm na ndugu zao unategemea ufanisi utoke wapi
 
Najiuliza waliwaamini vipi hao Raia tena wakigeni kupiga picha na Rais kama hivi?

Kwamba waliona yule Kanali angesimama hapo nyuma ya Mama kama ilivyo kawaida yake waliona atachafua hizo picha au?




View attachment 2710451View attachment 2710452
cha kulaumu kila k2,wewe umechahi ona jezi ina mfuko ambao unaweza ficha silaha???,,,,,kwanza lazima uelewe walikaguliwa mpaka mapumbu!!
 
Back
Top Bottom