Walinzi wa Rais hapa walifeli pakubwa sana

Walinzi wa Rais hapa walifeli pakubwa sana

Najiuliza waliwaamini vipi hao Raia tena wakigeni kupiga picha na Rais kama hivi?

Kwamba waliona yule Kanali angesimama hapo nyuma ya Mama kama ilivyo kawaida yake waliona atachafua hizo picha au?




View attachment 2710451View attachment 2710452
basi mwenyewe unajiona una akili kuliko wote!!!!!!! Acha ushamba na ujuaji wa kijinga. Kuficha ujinga ni hekima pia!!!!!!!
 
Afisa Usalama ambae pia ni Afisa Usafirishaji kutoka kijiwe cha bodaboda huko Nanjilinji anatoa tathmini ya Ulinzi wa Rais siku ya Simba Day

Mchungaji Msigwa huwa namkumbuka sana kwa kauli yake moja …alisema hata uanzishe mada juu ya namna bora zaid ya kurutubisha vinu vya Nuclear vya Marekani ukikosoa namna wanavyorutubisha kwa sasa lazima watachangia tu kwa kujifanya wajuaji wa kila kitu
 
ila wabongo kwa ujuaji kila sekta ni manguli [emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣
Na ole wako ujifanye kumrekebisha!!

Nakumbuka kuna thread moja kali sana ilikuja humu kumponda waziri hajui kiingereza baada ya kusema 'ministry for works'!. Alipondwa vibaya.......ilipata wachangiaji si kitoto. Nayangojea kwa hamu hayo mabadiliko ya elimu labda yatakuja kutuondolea hali hii kwa wajukuu wetu.......sisi imeshakuwa too late.
 
Najiuliza waliwaamini vipi hao Raia tena wakigeni kupiga picha na Rais kama hivi?

Kwamba waliona yule Kanali angesimama hapo nyuma ya Mama kama ilivyo kawaida yake waliona atachafua hizo picha au?




View attachment 2710451View attachment 2710452
Naona Umeamua Kuimba Amapiano kwa Lugha ya Kwenu

Unadhani Tukio Ambalo linamhusisha Mkuu wa Nchi Hupangwa siku moja?

Hao wachazaji hapo walipo kitu kigumu kwenye miili Yao ni nywele kwa waliosuka.
 
Any way mtu Mwenyewe amejiita Piano man hizi sio level zake.Ulinzi ni uwanja Mpana sana aisee. Hapo hao wote walishachungunzwa tangu wanaingia nchini na mawasiliano yao.
Veting ya hivyo kwa Tanzania haipo - Usalama hawana uwazaji wa hivyo, japo pia hakunaga nia ya kudhuru viongozi, ni mahali salama.
 
🤣🤣🤣🤣
Na ole wako ujifanye kumrekebisha!!

Nakumbuka kuna thread moja kali sana ilikuja humu kumponda waziri hajui kiingereza baada ya kusema 'ministry for works'!. Alipondwa vibaya.......ilipata wachangiaji si kitoto. Nayangojea kwa hamu hayo mabadiliko ya elimu labda yatakuja kutuondolea hali hii kwa wajukuu wetu.......sisi imeshakuwa too late.
Itakuwa tu wewe ndo huyo waziri.
 
SSH ndio anawaamuru hao usalama nini Cha kufanya na sio kwamba wao ndio wanamuongoza
Rais huwa hana cha kuamua akiwa na walinzi wake anapangiwa atapiga picha na nani atasalimiana na nani na hao walishakaguliwa mpaka pumbu, kifupi tu kuna ka udhaif coz hapo mtu anaezampiga ngumi rais hadi akafa
 
Najiuliza waliwaamini vipi hao Raia tena wakigeni kupiga picha na Rais kama hivi?

Kwamba waliona yule Kanali angesimama hapo nyuma ya Mama kama ilivyo kawaida yake waliona atachafua hizo picha au?




View attachment 2710451View attachment 2710452
Ni matunda ya tunda la amani na utulivu
katika nchi yetu,ni tabia ya watanzania kuwa watu wa amani.

Ila nakubaliana na wewe kwamba walinzi wanatakiwa watarajie lolote
bila kujali ni nchi ya amani au ya vurugu.Tukumbuke lile tukio la mzee mwinyi kupigwa kibao
lilitokana na uzembe na aliyefanya tukio hilo alikuwa mtanzania mwenzetu(mwanaamani na utulivu).
Ni vema tukajifunza kutokana na yaliyokwishapita.
 
Ulinzi sio kusimama nyuma tu, ulinzi unaenda zaidi ya hapo, huenda walishachukua tahadhari zote na wameamini yupo salama.
Kama uliona lile tukio la rais Bush kurushiwa kiatu, utajifunza kwamba silaa inaweza kuwa
kitu chochote ambacho muarifu ataamua kutumia kukudhuru pindi apatapo nafasi.
Kama tunavyopambania bandari kama mali yetu sote,ni hivyo hivyo na rais ni wetu sote
tunayo haki ya kushauri tunapohisi ulinzi unalega.
 
Afisa Usalama ambae pia ni Afisa Usafirishaji kutoka kijiwe cha bodaboda huko Nanjilinji anatoa tathmini ya Ulinzi wa Rais siku ya Simba Day

Mchungaji Msigwa huwa namkumbuka sana kwa kauli yake moja …alisema hata uanzishe mada juu ya namna bora zaid ya kurutubisha vinu vya Nuclear vya Marekani ukikosoa namna wanavyorutubisha kwa sasa lazima watachangia tu kwa kujifanya wajuaji wa kila kitu
Tunawezasema yote,lakini tukumbe mzee mwinyi alipigwa kibao hapa hapa
kwa kudhani kwamba ni amani.hivyo,ukiona watu wanakosoa hata kama unadhani wanaokosoa hawana taaluma
angali mantiki lifanyie kazi maana hakuna hasara kufanya hivyo.
 
HALAFU HUU UTARATIBU WA VIONGOZI WAKUBWA KUZIKUMBATIA SIMBA NA YANGA NI KUZIKOSEA HESHIMA TIMU ZINGINE

PIA INASABABISHA UDUNISHAJI KWA TIMU ZINGINE
 
Back
Top Bottom