babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,841
- 6,546
Hadithi nyingi zinazomuhusu Sabaya ni uongo wenye mapembe.Niliona jana usiku Kigogo anasema Sabaya kapewa silaha na OCD Hai hawakujua zinaenda kutumika kwa kazi gani, kumbe ndio kazi yenyewe hiyo.
Huu utawala wa Magufuli ni laana kwa hili taifa.
Na kwa wakazi wa Hai wanamuona Sabaya kama mkombozi wao
Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app