Walinzi wa Kikwete wana silaha za kutosha?

Walinzi wa Kikwete wana silaha za kutosha?

Wale walinzi ni mgambo tu na hawana silaha yoyote mifukoni wamejaza karanga na maandazi ya kutafuna.
 
...Spanish Cp umenivunja mbavu sana! Kwamba jamaa hawana silaha wamejaza karanga na maandazi tu mifukoni mwao... Hahahahaaaa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
SPANISH CP u broke my rib...

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Lazima uwe na elimu ya pili .siyo uliyo zoea ya kawaida
 
Sio kila kazi unayoipenda unaweza ifanya!! Hii itabaki kuwa ndoto kwako kama zingine. Wasaalam
 
Mkuu nilitaka jufahamu tu..kama huna unachojua si upige kimya!@many the catalyst

Lazima kuna jambo limekufanya uipende hiyo kazi. Tushirikishe basi kabla hatujakushauri;
1. Ni kwa J.K tu au hata rais yeyote?
2. uzalendo na kutaka kuona rais anakuwa salama?
3. Ving'ora kila uchwao?
4. Vyakula vya ikulu?
*6. Safari za mara kwa mara au
7. Unataka kumdhuru?
 
nenda kwenye kota zao kijitonyama kamuulizie mlinzi pale getini atakupa details zote na kama unafaa nadhani watakuchukua baada ya kukuchunguza kwa undani
 
Wadau habari zenu.napenda kufahamu wale walinzi wa raisi wetu(wavaa Kaunda Suti)kuwa ni wanajeshi? au police wa kawaida?au ni miongini mwa Usalama wa taifa?na je huwa na silaha yoyote? naipenda hii Kazi sana. wadau kwa anaejua anipe shule nipate mwanga.samahani kwa nitakae mkwaza.nawasilisha.

Usalama wa taifa so kazi hiyo ndg yangu bora hata polisi,
wanalipwa pesa nyingi ila kufa kuko nje nje wakati wowote...
tena wanauana wenyewe
 
Walinzi wa Rais wanatoka katika kitengo kimojawapo cha Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) kinachoitwa Kitengo cha Usalama wa Viongozi Wakuu (PSU - Presidential Protection Unit).
'Memba' wa hiki kitengo wanapewa mafunzo mbalimbali ya kupigana bila silaha, kutumia silaha, kusoma mazingira n.k. Wana uwezo mkubwa wa kuhami, kushambulia, kulenga shabaha,kudhibiti halaiki ya watu n.k.Wengi wao hutoka katika majeshi yetu mbalimbali na kupatiwa mafunzo mbalimbali.
Walinzi hawa hubeba silaha ndogondogo na za ukubwa wa kadiri ( bastola,Uzi) katika miili yao lakini silaha kubwa (bunduki) huwa haziko mbali sana na wao.
Katika kundi la walinzi huwa wana kiongozi wao (Detail Leader) ambaye kwa kawaida huwa karibu sana na mlengwa. Katika ulinzi wanajipanga katika taratibu (formations) mbalimbali kufuatana na mazingira na kiasi cha hadhari.
 
Hizo kazi mbona ni wengi tu tulihisi tunazipendaga,ila mi nilishtukia ni movie ninazoangalia ndio zilikuwa zina nidanganya.
 
Walinzi wa Rais wanatoka katika kitengo kimojawapo cha Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) kinachoitwa Kitengo cha Usalama wa Viongozi Wakuu (PSU - Presidential Protection Unit).
'Memba' wa hiki kitengo wanapewa mafunzo mbalimbali ya kupigana bila silaha, kutumia silaha, kusoma mazingira n.k. Wana uwezo mkubwa wa kuhami, kushambulia, kulenga shabaha,kudhibiti halaiki ya watu n.k.Wengi wao hutoka katika majeshi yetu mbalimbali na kupatiwa mafunzo mbalimbali.
Walinzi hawa hubeba silaha ndogondogo na za ukubwa wa kadiri ( bastola,Uzi) katika miili yao lakini silaha kubwa (bunduki) huwa haziko mbali sana na wao.
Katika kundi la walinzi huwa wana kiongozi wao (Detail Leader) ambaye kwa kawaida huwa karibu sana na mlengwa. Katika ulinzi wanajipanga katika taratibu (formations) mbalimbali kufuatana na mazingira na kiasi cha hadhari.

Mkuu mungo park uminipa shule ya kutosha sana. Than mkuu.
 
Hivi walinzi wa rais akiwa kwenye msafara wana silaha kiasi gani iwapo watu wenye hasira wakiamua kumshambulia kwa mawe kutokana na kushindwa kutekeleza majukumu yake kama kiongozi mkuu wa nchi? Vile vi bastola kiunoni kweli vinaweza kushindana na nguvu ya umma?
Chattle Master kalifanyia kazi suala lako. Vipi ulinzi wake?
 
Mkuu,achana na hilo wazo lako kabisa,muache tu huyo dhaifu amalzie miaka yake akarest in peace...wale makomandoo wanaomlinda ni hatari sana asee na wana silaha kali mno.
Leo mnamuita shujaa?
 
Back
Top Bottom