Walinzi wa CHADEMA na miwani ya kuchomea magrill

Walinzi wa CHADEMA na miwani ya kuchomea magrill

Hawa ni walinzi wa CHADEMA wakiwa na miwani ya kuchomea vyuma wanayovaa wachomea ma-grill

Mbeya3.jpg
Du mafundi welding.... Wakiwa wanamaliza mafunzo...........

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Jameni muwe na nidhamu hao ni makamanda bhanaa jwtz wakiishiwa tunaazima cdm sura za kazi hizo bhanaa teh teh teh.
 
Inaelekea huijui miwan ya kuchomelea!
 
Wanavyonichekesha ni pale ukiwakuta wakiwakinda akina halima mdee utakuta wamevimba kama chura kaona gari lakn kazi hamna kitu
 
Lengo la post yako ni nini haswa Mbona sijaelewa? Ni kwamba ulienda dukani ukaambiwa miwani zimechuliwa na chadema? pole sana acha kazi ya kucho grill kwanza utapofuka.
 
Eti red brigade!!! Red brigade my asss! Ni sawa na kile kipindi cha uchaguzi unakuta jua kali kweli ila jitu limejifunika mibendera ya chadema, kofia soksi ya chadema na liscarf shingoni linanyonga huku jasho kibao, alafu unakuta jitu linakusalimia kwa mzuka, PIPOOOOZZZZZZZ!!!!
Hovyo kabisa, sasa hawa wanavaa miwani za wale wa wielding! Dah, wenyewe wanaona wametoka kweli.
Umepaniki mkuuu pyeeee[emoji12]
 
Eti red brigade!!! Red brigade my asss! Ni sawa na kile kipindi cha uchaguzi unakuta jua kali kweli ila jitu limejifunika mibendera ya chadema, kofia soksi ya chadema na liscarf shingoni linanyonga huku jasho kibao, alafu unakuta jitu linakusalimia kwa mzuka, PIPOOOOZZZZZZZ!!!!
Hovyo kabisa, sasa hawa wanavaa miwani za wale wa wielding! Dah, wenyewe wanaona wametoka kweli.
Heti vijana wa IT!IT my Foot
 
Back
Top Bottom