kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,628
- 1,786
Kama kuna wahusika humu wanifafanulie.. Yani nirudi kijijini aaah... Sasa watanielewa Vipi wale niliowaacha.. Tcu niurumieni basi
Na wewe kwanini uliomba nafasi wakati kabisa unajua hauna sifa?Kama kuna wahusika humu wanifafanulie.. Yani nirudi kijijini aaah... Sasa watanielewa Vipi wale niliowaacha.. Tcu niurumieni basi
OK MkuuMiaka ya nyuma kiukweli walikuwa wapanga tu Bila kuzingatia vigezo cha kada husika afadhali hawa wa ndalichako watakuwa na nafuu maana joto la jiwe wamelipata
Ila fuata maelekezo walioyatoa itakuwa poa ebu komaa tu usilielie na malalamiko mengi
Acha povuNa wewe kwanini uliomba nafasi wakati kabisa unajua hauna sifa?
OK MkuuAcha kuzingua fata maelekezo waliyotoa tcu,peleka vyeti ivyo.
HahahahaAcha povu