Ni mwaka mpya ambao utaambatana na mambo mengi ukiwamo uchaguzi mkuu,uboreshaji wa daftari la kudumu na upigaji wa kura za maoni ya katiba mpya. Katika matukio yote hayo utakuta walimu hutumiwa na kulipwa pesa kidogo.
Najiuliza maswali kama walimu wana umuhimu kiasi hicho hv serikali inashindwaje kuwalipa madai yao? Mfano nauli za likizo,mapunjo ya mishahara, kupandishwa madaraja kwa wakati?
Walimu tuungane pamoja na kuimbia wazi tumechoka na hatutaipigia kura CCM kwani wanatuona sisi matoi, tumechoka kuonewa,kama kuna wakati wa kutangaza mgogoro ndiyo huu.
Rai wa cwt tafadhalini tangazeni mgogoro na kama hawaelewi walimu tupige kampeni serikali ya ccm iache hadaa tusikubali kuendelea kudharauliwa na kama hawajui umuhimu wapuze madai yetu wajue watalia 2015!
Najiuliza maswali kama walimu wana umuhimu kiasi hicho hv serikali inashindwaje kuwalipa madai yao? Mfano nauli za likizo,mapunjo ya mishahara, kupandishwa madaraja kwa wakati?
Walimu tuungane pamoja na kuimbia wazi tumechoka na hatutaipigia kura CCM kwani wanatuona sisi matoi, tumechoka kuonewa,kama kuna wakati wa kutangaza mgogoro ndiyo huu.
Rai wa cwt tafadhalini tangazeni mgogoro na kama hawaelewi walimu tupige kampeni serikali ya ccm iache hadaa tusikubali kuendelea kudharauliwa na kama hawajui umuhimu wapuze madai yetu wajue watalia 2015!