Walimu wote tafadhali someni hapa

Walimu wote tafadhali someni hapa

Hivi unadhani, kuibawaga CCM, ndo suruhisho Ila ni dhahiri shairi kwamba kubadili utawala uliopo ni shughuli pevu, inayohtaji maandalizi Ki,elimu, uchumi na hata kijamii kwa wale wayatakayo mabadiliko na si kukurupuka kama ilivyo hivi sasa,

Waweza kubisha lakini subiri OCTOBER utaamini !
 
Ryaro wa Ryaro

Tatizo Tz Walimu Wamegawanyka Makundi Kama Ifuatavyo: 1.MEK =Afisa elimu wa kata

2.Hod= Mkuu Wa Shule

3.Mm=mwalimu Mkuu

4.Deo/ Dseo/ Meo P/ Meo S= Afisa Elimu Wa Wilaya

5.Reo= Afisa Elimu Mkoa

6.SLO= Afisa Elimu Takwimu

7. Afisa Elimu Taaluma W

8. Afisa Elimu Ya Watu Wazma

9.Afisa Elimu

10. Mwalimu

Haya Makundi Huwa Hayakubaliani,wengine Wakigoma Miongoni Mwao Hutumwa Wengine Wawashughulikie Wenzao Wajute Kuingia Kwenye Mgomo,

Kisha Chama Chao Hakina Uwezo Wa Kugharamia Mishahara Ya Walimu Walio Kwenye Mgomo Hata Mwezi Mmoja, uwezo Wao Ni Kugawa Tsht Mei Mosi Tu,kwa Hali Hiyo Mwl Hana Pakushika.
 
Last edited by a moderator:
SHIVA MAINA

Nawaheshimu sana walimu kuanzia wa chekechea mpaka vyuo vikuu, ni wale tu ambao shule ilikuwa kituo cha polisi ndio wanaobeza walimu. Tusiwashutumu walimu hapo walipofika huku tukijua bayana kuwa mfanya maamuzi ya maendeleo ya elimu yetu TZ ni serikali.

Nashauri walimu msiingie kwenye mtego huo wa kugoma na kusumbuana na mbogo aliyejeruhiwa sasa hivi, atawavuruga kweli. Tumieni the ballot power kwa kufanya yafuatayo

1. Vyama vinavyo wania uraisi viweke bayana vitafanya nini kuleta mapinduzi ya elimu nchini

2. Jitoleeni kuelimisha jamii juu ya uhuru wa kuchagua mgombea atakaye leta maendeleo ya kweli

3. Msiwe waoga kuwahoji wagombea (including ccm) mambo ya msingi ambayo yatafungua masikio ya wananchi. Kumbukeni wazazi wetu huko vijijini-kwa wale walio vijijini, wanawaamini sana walimu.

4. Say NO hata kama ukipewa peremende wakati huu wa uchaguzi
 
Last edited by a moderator:
jaman punguzeni jazba mm n mwl.nina mwaka mmoja kazini. BAED UDSM 2010 - 2013 walimu niliowakuta hasa walioajiriwa kabla ya 2000's kiukweli ni waoga sana sijui walifanywa nini.ila kwa changamoto tunazowapa sisi walimu vijana watabadirika na kuwa sehemu ya ukombozi badala ya kuwa wakala na nguzo ya nyinyiemu.

kuweni wapole vijana tupo kazini kwa wanafunzi na walimu waoga ila siyo failures ni uhakika wa ajira kutokana na hali ya familia zetu ndicho wengi wetu kimetuleta huku ila tulifaulu vizuri tu!

mkuu.. kuna ulazima wa kutaja chuo ulichosomea?
 
Hoja imeachwa kejeli zimepata nafas,Jukumu la kuitoa CCM si la walimu pekee watanzania tuamke.
 
Shy land sorry nimeteleza lengo langu ni huyo marere sorry for that.

Nigeshagaa sana mkuu, mimi nimemuliza huyu jamaa anayekashifu mwalimu kwamba hawajitambui, kwa maana ya kwamba yeye anajitambua sana. kama umekili kosa mkuu yameisha
 
walimu wengi ni mbulula hawajitambui , wangejitambua ccm 2010 isingeshinda

Mambo mengine bwana vichekesho sana yaani mwalimu mburula asiyejitambua anakufundisha wewe unajitambua? Hebu onesha hata shukrani kwa kujitambua kwako.
 
Nsongola - mabunga

yaani mi nshawaambia km kuna atakeomba kua msimamizi wa kituo cha kupiga kuraaa
huyo sio mzima ila primary wanstuangusha sana ujue
 
Last edited by a moderator:
mwl hawezi kuanzisha thread kama hii ya uchonganishi nina wasiwasi na wewe pia aliesema hujitambui hakukosea.

Ni mwalimu huyo na pia ni mwenyekiti wa CWT Wilaya fulani karibu na Gambishi
 
Back
Top Bottom