Mi shinyanga vijijini vp uko?
Geita kuna advance ngapi? Naomba nijuzwe kwani mi naenda huko.
tunashkuru sana kwa ushauri wako ubarikiwe hv mwalimu anaempa mimba mwanafunzi hukumu yake ni ipi?
Geita kuna advance ngapi? Naomba nijuzwe kwani mi naenda huko.
Nilkuwa namuomba sana mungu walimu mpate ajira, nimefurahi sana leo kuona mkiwa na furaha. Kuhusu maisha ya kituo ulichopangiwa wewe ndio mwamuzi ukiishi vizuri na watu (wanakijiji, wanamji) utayafurahia sana maisha na utafanikiwa. Mjiweke chini msiende kuonesha madoido na dharau kwa wananchi... ohooooo... matarushwa vichaa au wazazi wenu watapokea mwili. Nawaambia haya kwakuwa nimepitia haya maisha na ninafahamu.!
Cha mwisho, vijana wa kiume msiviharibu vibinti, mtapigwa visu [mkishindwa kujizuia muoe]
Nimefurahi sana leo wandugu
tunashkuru sana kwa ushauri wako ubarikiwe hv mwalimu anaempa mimba mwanafunzi hukumu yake ni ipi?
Ndugu Polite hili nalo linahitaji maelezo zaidi? Mwalimu Kuzini na mwanafunzi ati unauliza adhabu yake ikoje? Hii hatari sana
mkuu u have QUOTED ME OUT OF CONTEXT,nilichouliza ni kumpa mimba sio kuzini,kumbuka zinaa ipo mahali pengi hata kwa viongozi wa dini.napenda kuwa na ufahamu wa sheria za nchi .Je unamkumbuka yule mwalimu alienda kufunga ndoa na mwanafunzi kwenye ofisi ya serikari je alijua sheria na hukumu ni ipi hapo
mi nimepangwa serengeti mara wa huko nipeni habari na kutoka dar unapitia njia ya arusha au musoma?
Anafukuzwa kazi na Utumishi na kufungwa jela miaka 30, usithubutu kabisa kufanya kitu kama hicho mdogo wangu. Wanawake wapo wengi tutunashkuru sana kwa ushauri wako ubarikiwe hv mwalimu anaempa mimba mwanafunzi hukumu yake ni ipi?