after all, wanaotakiwa kuboresha sehemu ya kazi ni kanisa through MoU public funds hawakufanya hivyo wamekula pesa...kama kawaida makanisa kwa ufisadi..
Naona vyombo vya habari hawataki kuandika kuhusu cssc (christian social services commision) walivyoshindwa kuboresha mazingara ya kazi KCMC, na Bugando wameanza kuisingizia serikali..lol
Maisha magumu kwa kila mtanzania.wahadhiri vipi na nyie hamgomi?maana mziki wa wanafunzi wahadhiri wakigoma pale magogoni patachimbika
maisha magumu kwa kila mtanzania.wahadhiri vipi na nyie hamgomi?maana mziki wa wanafunzi wahadhiri wakigoma pale magogoni patachimbika
Hivi kwa nini mipolisi haigomi? Na inalipwa kiduchu sana eti kulinda Bank posho Tsh.5000/= anang'atwa na mbu usiku kucha anaambulia buku 5 gomeni na nyie wekeni chini mabunduki na mabomu ya machozi piganieni haki zenu ili nanyi mfaidi keki ya Taifa inayo liwa na wachache katika nchi hii.
Mh sasa hao madai yao mpaka mwezi wa 7 huko...kwanini wasiingie tu mtaani in this moment wakatoa support kwa madaktari??
Huyu kiongozi wa nchi nahisi yuko mbioni kukimbia nchi kama mambo yenyewe ndio haya!
weraweraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!bunge nalo litagoma?polisi je?baba Liz mwaka huu wako