Walimu wapewe posho ya kufundishia

Walimu wapewe posho ya kufundishia

ni kweli mkuu embu toa wazo usipondee tu hii kada ya ualimu ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa letu

Sijaponda ila ni wazo tu,niliajiriwa mwaka 2012 idara ya sekondari hakuna jipya,tafuta heshima mkuu ukikomaa na ualimu utajuta,mimi hata kuchapa fimbo sipo,una muadhibu fimbo mwanafunzi ili iweje au umsaidie afaulu halafu baadae anasema Mambo teacher na maisha amekuacha mbali
 
Tena ifanane na ya WABUNGE!
miongoni mwa michango mizuri, eti wanatukebehi kazi ya ualimu ni wito, huku tukizalisha wabunge na wengine ambao posho zao tu ni mara kadhaa ya mishahara yetu. Inasikitisha lakini hata mwalimu anashangaa maana ya per diem maana hajawahi kuionja hata siku moja yeye yu busy na watoto wetu tu!
 
Lakini jamani tunapofikilia kero wanazozipaya walimu tucwe na maamuzi ya jazba coz kila kitu kinautatatibu wake wa kifanikiwa so nashauri jaribuni kuyapeleka haya matatizo yenu kwenue ngazi stahili coz yawezekana mkafanikiwa kutatua tatizo hili, huu n uongozi mwengine, alaf kama ukisema uwaache hao wanafunzi mtakuwa mmewafanyia dhulma ebu fikiri kama wewe ungeliachwa ungelikuwa mwalimu.

Ww acha mambo yako ya ajabu!!Waalimu wamepuuzwaa miaka na miaka hio ni DHULUMA TOSHAA!!Mimi hapa tangu nikiwa sekondari nilikua nikiyasikia malalamiko ya waalimu!!Sikua na jinsi.nikaingia hukohuko baada ya kuhitimu pale Mlimani!!2014,,nimeajiriwa Mei 2015 nmekaa miezi mi4 bila mshahara ile hali nilkua na vigezo vyoote na vyeti vyoote!!Nimeanza kuambulia kimshahara kimoja mwezi wa.9 baadaa ya kufatiliaa saaaaaanaaa!!!Na hadi napoandika komenti hii kuna watu nimeajiriwa nao wakati mmoja ila mpka leo hawajapata check namba wala mshahara! Hata ile pesa ya kujikimu imeshatafunwa !!ile hali wenzetu baadhi walianza kupata mshahara mwez wa 5 uleulee!!

Mbona Wanajeshi,,mapolisi,,madaktari au mainjinia,,au maafisa utumishi hawafanyiwi upumbafu huu??
Jibu lipo palepale hakuna mtu anaejali Kada hii ya ualimu ...imekia ikidharaulika kila leoo...hapa nlipo nadai mishahara ya miezi mi 4 kulipwa ni majaliwa,,kwa sabab kuna mwalim nmemkuta hapa kituo changu cha kazi aliajiriwa 2012 nayr anadai malimbikizo hadi leo hii!Alafu unqjidanganya HAPA kazi tu??Haiwezekani elimu ikapanda kwa namna hio!!Ndo maana waalimu wanakosa hata moyo kufanya kazi na.ndio chanzo cha ELIMU KUPOROMOKA KILA LEO!!
 
Lakini jamani tunapofikilia kero wanazozipaya walimu tucwe na maamuzi ya jazba coz kila kitu kinautatatibu wake wa kifanikiwa so nashauri jaribuni kuyapeleka haya matatizo yenu kwenue ngazi stahili coz yawezekana mkafanikiwa kutatua tatizo hili, huu n uongozi mwengine, alaf kama ukisema uwaache hao wanafunzi mtakuwa mmewafanyia dhulma ebu fikiri kama wewe ungeliachwa ungelikuwa mwalimu.

Yapelekwe wapi tena wakati hata watoto wa 05yrs wanafahamu matatizo ya walimu
 
kuna umuhimu wa kumpeleka mwalimu bungeni akapiganie haki za walimu
 
Hapa Kazi Tu!
~>Ishu ku attend shuleni(kazin)... Hakuna kufundisha kwa kujitolea.
Nawapenda walimu wa siku izi, hawanaga maneno maneno wao vitendo tu. Wanajazana maofisini na mikoroshoni kupiga stori tu. afu jion hakuna kurudia shule ni kukesha kijiwe tu.....'
WENGINE WAFAIDI NA WENGINE WAUMIE.
*HAPA KAZI TU*
duuuuuuhhhh haa haaa ha haaa aisee mbavu zangu miee
 
Mishe upige na majukumu utekeleze, kama unuona ualimu michosho achana nao ukapige Mishe.... Hakuna kazi isiokua na changamoto
 
Mabadiliko yanaanzia kwako mwenyewe,acha kuwa busy na watoto wa wenzako wakati huna posho,tumia muda mwingi kufanya kazi binafsi,acha kukomaa na wanafunzi utalaumiwa na watoto wako baadae,ushauri zaidi njoo PM,hata mwalimu mwingine unaweza kuomba ushauri



I support you!! 100% ukijifanya unajali saaana kazi ya ualimu utapoteza muda na nguvu buree!!Fanya mishe zako zingne ww lasivyo utakufa maskini!!Maafisa huko Halmashauri wanapiga mihela,,yanadhulumu pesa za waalimu!!!Waalimu hadi leo hii hatujalipwa Malimbikizo,,pesa zetu za kujikimu hamnaa!!kila ukifatilia wanakupiga chenga,,huo ufala unategemea mwalim.ajitolee kufanya kazi kwa bidii??Haiwezekani!!



Ww acha mambo yako ya ajabu!!Waalimu wamepuuzwaa miaka na miaka hio ni DHULUMA TOSHAA!!Mimi hapa tangu nikiwa sekondari nilikua nikiyasikia malalamiko ya waalimu!!Sikua na jinsi.nikaingia hukohuko baada ya kuhitimu pale Mlimani!!2014,,nimeajiriwa Mei 2015 nmekaa miezi mi4 bila mshahara ile hali nilkua na vigezo vyoote na vyeti vyoote!!Nimeanza kuambulia kimshahara kimoja mwezi wa.9 baadaa ya kufatiliaa saaaaaanaaa!!!Na hadi napoandika komenti hii kuna watu nimeajiriwa nao wakati mmoja ila mpka leo hawajapata check namba wala mshahara! Hata ile pesa ya kujikimu imeshatafunwa !!ile hali wenzetu baadhi walianza kupata mshahara mwez wa 5 uleulee!!

Mbona Wanajeshi,,mapolisi,,madaktari au mainjinia,,au maafisa utumishi hawafanyiwi upumbafu huu??
Jibu lipo palepale hakuna mtu anaejali Kada hii ya ualimu ...imekia ikidharaulika kila leoo...hapa nlipo nadai mishahara ya miezi mi 4 kulipwa ni majaliwa,,kwa sabab kuna mwalim nmemkuta hapa kituo changu cha kazi aliajiriwa 2012 nayr anadai malimbikizo hadi leo hii!Alafu unqjidanganya HAPA kazi tu??Haiwezekani elimu ikapanda kwa namna hio!!Ndo maana waalimu wanakosa hata moyo kufanya kazi na.ndio chanzo cha ELIMU KUPOROMOKA KILA LEO!!


yah kweli kabisa wakuu!!!!mi huwa namshangaa mwalimu anayejifanya muwajibikaji kama shule ya baba yake.mara usafi,mara kuwaadhibu wavaa modo,mara huyu hajaja na viatu vya kufunika,mara mkanda sio wa shule,mara hivi,mara vile!!!!kkkaaaa!!!!walimu jitambueni!!!mmetelwkezwa lakini nyinyi mna...
 
yah kweli kabisa wakuu!!!!mi huwa namshangaa mwalimu anayejifanya muwajibikaji kama shule ya baba yake.mara usafi,mara kuwaadhibu wavaa modo,mara huyu hajaja na viatu vya kufunika,mara mkanda sio wa shule,mara hivi,mara vile!!!!kkkaaaa!!!!walimu jitambueni!!!mmetelwkezwa lakini nyinyi mna...

Walimu wengi wajinga na malofa,wametelekezwa lakini wameshindwa kutelekeza wanafunzi,mimi nilitelekeza siku nyingi,jitambue mwalimu,napata uchungu mimi,eti nikafanye kazi nyingine wakati nimepoteza muda mwingi kwenye kusoma kuanzia darasa la kwanza hadi chuo kikuu,badilikeni walimu labda kama magumashi
 
Mishe upige na majukumu utekeleze, kama unuona ualimu michosho achana nao ukapige Mishe.... Hakuna kazi isiokua na changamoto


Umenena vema dada,sio lazima uwe mwalimu kama huwezi kuwa responsible.Acha ukafanye kitu kingine unachohisi kina heshima na maslahi
 
Umenena vema dada,sio lazima uwe mwalimu kama huwezi kuwa responsible.Acha ukafanye kitu kingine unachohisi kina heshima na maslahi

Magumashi ambao hawajapoteza muda wa kusoma utawajua tu na ndio wanachangia kukwamisha juhudi za walimu wengine,mtu hulipwi nauli ya likizo,hakuna posho,scale ya mshahara ndogo,hupandi daraja,unastaafu na daraja la ajira,kazi ngumu ndio unafikiriwa mfano sensa,nk,,kweli adui wa mwalimu ni mwalimu ni shida
 
Umenena vema dada,sio lazima uwe mwalimu kama huwezi kuwa responsible.Acha ukafanye kitu kingine unachohisi kina heshima na maslahi

Kuna watu akili zao kama ziko makalioni, hapa post zikichelewa humu ni usumbufu had unatamani kujipa likizo, haki zetu tudai lakin katika good manner so kujifanya porojo wakati huo ualimu ndo unatuweka mjini.....kama ualimu haulipi wachague tigo pesa inalipa, madaktari wenyewe tunaoona wanalipwa vzr mbona wanagoma, nyooo waache ualimu wa aendeshe bodaboda huko
 
Magumashi ambao hawajapoteza muda wa kusoma utawajua tu na ndio wanachangia kukwamisha juhudi za walimu wengine,mtu hulipwi nauli ya likizo,hakuna posho,scale ya mshahara ndogo,hupandi daraja,unastaafu na daraja la ajira,kazi ngumu ndio unafikiriwa mfano sensa,nk,,kweli adui wa mwalimu ni mwalimu ni shida


Pole ndugu mwalimu.Mimi sio mwalimu na hata ningekua ningekuwa na mtazamo tofauti na wewe.Ninachosimamia ni kuwa badala ya kuendelea kulalamika ni vema ukaacha ukafanye hata ujasiriamali.Utapata stress bure
 
Pole ndugu mwalimu.Mimi sio mwalimu na hata ningekua ningekuwa na mtazamo tofauti na wewe.Ninachosimamia ni kuwa badala ya kuendelea kulalamika ni vema ukaacha ukafanye hata ujasiriamali.Utapata stress bure

Ha ha ha bora hata umshauri, make changamoto hazitatuliwi kwa jazba kiasi hicho na mwalimu kushindwa kutekeleza majukumu humuumizi mtu bali tunatengeneza jamii ya watu wajinga, na kama huu ndo ufikiri wetu walimu basi tunaowafundisha kazi wanayo
 
Ha ha ha bora hata umshauri, make changamoto hazitatuliwi kwa jazba kiasi hicho na mwalimu kushindwa kutekeleza majukumu humuumizi mtu bali tunatengeneza jamii ya watu wajinga, na kama huu ndo ufikiri wetu walimu basi tunaowafundisha kazi wanayo

Walimu kudai maslahi mazuri ni haki yao.
 
Back
Top Bottom